Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkiweza kuwazuia Liverpool wasipate goli katika dk 20 za kwanza basi nyie ni vidume.
 
Hata Chelsea iliponunuliwa na Roman Abromovic alimchukua mtendaji mkuu David Dein kutoka Man u, ila man u tunamatajiri vilaza sana
 

Naamini EtH ndio kocha na anawajua wachezaji wake kuliko mimi ila nadhani ana tatizo kwenye upangaji wake wa timu.

Acha nisubiri apatiwe wachezaji anaowataka nione vituko.
 

Naamini EtH ndio kocha na anawajua wachezaji wake kuliko mimi ila nadhani ana tatizo kwenye upangaji wake wa timu.

Acha nisubiri apatiwe wachezaji anaowataka nione vituko.
We unataka nani apangwe magwaya au Fred maana sio makosa wamepewa nafasi alafu wanazingua
 

Naamini EtH ndio kocha na anawajua wachezaji wake kuliko mimi ila nadhani ana tatizo kwenye upangaji wake wa timu.

Acha nisubiri apatiwe wachezaji anaowataka nione vituko.
Kwahiyo anajiona kapatia mwenyewe kumuweka Eriksen kama CM wakati wenye nafasi zao wapo.

Timu kama man utd inaingia na AMF wawili dhidi ya Liverpool. Ngoja tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…