Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka[emoji16] yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha [emoji16][emoji16][emoji16]
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609
allypipi sikufichi Leo draw au mnachezea 2-0Aise yani nimekaa na mdau mmoja hapa anatabasamu kweli na kuchekacheka[emoji16] yani jamaa lina furaha kweli kweli naliuliza unacheka cheka nini lime ni jibu.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha [emoji16][emoji16][emoji16]
Prediction
Brentford 1 Manchester united 3
Time:1:30View attachment 2322609
Leo Draw au Mnapigwa 2-0Asubuhi ya leo nilikatiza kwenye viunga vya Mloganzila, kila ninaepishana nae anacheka, hata wale wangonjwa waliobebwa kwenye machela na wenyewe wanatabasamu ikabidi nimuulize daktari leo vipi mbona hii hali siielewi?
Dokta akanijibu kua kwa pale hospitali ni kawaida siku Manchester United itapokua inacheza watu wote hua na furaha, hata dawa za kupunguza maumivu siku hio hua hazitumiki sana.
Hapo ndio nikakumbuka ile kauli ya allypipi ya kwamba :-
"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha [emoji16][emoji16][emoji16]"
UMELIWAmunionee hurumaa jamani, ninewaamini kwenye kimkeka changu tafadhari.
Mnisamehe lkn herndeson nilimuona bora zaid DavidErik ten Hag would like a goalkeeper that can genuinely challenge David de Gea and, if one becomes available, the sanctioned funds of £7m could go higher.
[lauriewhitwell]
----------------
Tuwe wavumilivu mpaka msimu ujao, sidhani kama Onana ataweza kumweka benchi Handanovic huko Inter Milan.
Hivyo msimu ujao tunaweza kumshawishi Kwa urahisi zaidi.
Wewe ni mkuu Putin hatuwezi kukuita mbwaNyumbu kesho wakishinda mniite mbwa nimekaa pale [emoji117][emoji117][emoji117]
Hana hela, amepoteza 2/3 ya utajiri wake ndani ya mwaka. Kifupi ngumu sana kuinunua UTD unless ziwe ni state money kama Man City ama kampuni kubwa.Mbolea sasa inanukia kuuzwa kwa Sir Jim Ratcliffe
The Glazer wameshindwa kazi kabisa na nadhani kuna shinikizo la chini kwa chini la kuiuza Man U
View attachment 2322904
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mkuu Putin hatuwezi kukuita mbwa
Cash out tu mkuu[emoji23][emoji23]munionee hurumaa jamani, ninewaamini kwenye kimkeka changu tafadhari.
Tukupe ukocha mkuu maana unaona kama kazi rahisi.Nilitamani martinez acheze namba sita, ericksen awe deep kidogo, tuone ufanisi wa pale kati patakuwaje !!!!
Tumeipenda wenyewe,,,,,!!!!
Glory Glory Utd! Let's go!
kulikuwa na haja ya kuongea utumbo ? haya Ni maoni as a fun! huo utumbo wako unaongea hapa mara umeoteshwa , sijui dunia ina furaha kuna mtu alishawahi kukupinga??,,,mda mwingine ukiona huna Cha ku-comment u better leave, unajikuta Nani kwenye hili jukwaa? Au kwa vile huoni comment zetu Mara kwa Mara ?!!! just respect man !!Tukupe ukocha mkuu maana unaona kama kazi rahisi.