David Moyes ni hand-picked successor wa Sir Alex Ferguson. Wa kumlaumu hapa ni Sir Alex kwani ni yeye aliyemchagua Moyes kurithi mikoba yake. Hakuna anayemkaribia Sir Alex kwa kuibua vipaji vya kabumbu. Hili halina ubishi, lakini nampa sifuri kwa uchaguzi wake wa makocha. Poleni sana wana-Man U.