TUMEPELEKEWA moto mpaka unajiuliza ivi hii ni Man U au lipuli?
Sina cha kulaimu dirisha lipo wazi kazi kwao..ndo madhara ya kutosajili..yote kwa yote ata nikiamshwa niwe kocha siwezi kumpanga MCtomminay kwenye kikosi...Ngoja tuone 2HALF ila kifupi TUMEZIDIWA KILA KITU TENA HOME
View attachment 2317180