Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu kocha nae kiazi tu, Maguire + Shaw + + Tomnay sio wa kuanza.

NB: Utd watafute kipa, kiungo mkabaji na namba 9, tofaut na hivyo top 4 ni ndoto.
 
Hamjasajili, au uchaguzi mbaya wa wachezaji wa kusajili,ilikuwa hamna maana ya kuleta Eriksen wakati mna BRUNO kwanini asikomae kutafuta DM kwingine hata kama De jong amewachomolea, Ten Hugs na yeye ana tatizo tu hapo Man U anaonekana mtu wa akisema jambo hataki ushauri.
 
Msisajiri CF na wenzenu Chelsea muone joto ya jiwe

Na kiungo mbaki na MCFRED

Hi timu hata akija FDJ bado mtapigika , RB hewa, Degea aki presiwa tu anatetemeka,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…