Yeah mtaimprove ila top 4 mxahau
Roma haikujengw kwa cku moja...hata izo Liverpool na city zili delay kabla ya kuwa kwenye form hii ya sasaKaka tusubrie....ERA COMES TO AN END hii ni kauli ya 10hag kwa city na liver na lzm itatimia
United is back, ETH atatufikisha tena mpm kweny mafanikio
1. Barca ni brand kubwa kushinda Chelsea.Kitoabu, Daemusin, Chief Mkwawa, Bavaria
Nje kidogo ya nyumba yetu, hivi ni kitu gani kinaendelea Chelsea? Mbona wachezaji wengi hawaendi? Na ofa zao huwa zinakuwa nzuri kuliko hata wapinzani wao. (Raphinha na Jules Kounde)
Jules Kounde anaenda Barcelona kwa Pound 46M na mshahara wa euro 7M kwa mwaka hapo hapo ofa ya Chelsea ilikuwa pound 55M na mshahara wa euro 12M kwa mwaka. Naomba nipewe ufafanunuzi kidogo hapa nini kinaendelea?
Most of players bado wanaamini Chelsea Ni klabu ndogo TU,Kitoabu, Daemusin, Chief Mkwawa, Bavaria
Nje kidogo ya nyumba yetu, hivi ni kitu gani kinaendelea Chelsea? Mbona wachezaji wengi hawaendi? Na ofa zao huwa zinakuwa nzuri kuliko hata wapinzani wao. (Raphinha na Jules Kounde)
Jules Kounde anaenda Barcelona kwa Pound 46M na mshahara wa euro 7M kwa mwaka hapo hapo ofa ya Chelsea ilikuwa pound 55M na mshahara wa euro 12M kwa mwaka. Naomba nipewe ufafanunuzi kidogo hapa nini kinaendelea?
Chelshit ni spurs iliyochangamkaMost of players bado wanaamini Chelsea Ni klabu ndogo TU,
Huyu fala pamoja na kumtetea sana humu ila safari hii ameamua kutuvua nguo kabisa hadharani, hichi anachotuonyesha ni ubinfsi wa hali ya juu sana.Sure, anazingua.
Kwan Barcelona ina ukubwa ganiMost of players bado wanaamini Chelsea Ni klabu ndogo TU,
Waulize wachezaji wanaokataa mishahara Mikubwa Chelsea ili wanalipwe kiduchu barca
Kijamaa ni kibinafsi sijapata kuona.Mbona ishu ni simple tu jamani mbona tunagandana na huyu mtu mbinafsi?..ni kutemana nae fasta tu..
EtH akimweka kwenye mipango yake nitamdharau sana
Hakuna fahari yoyote kuangalia mechi na Ronaldo akiwemo kikosini.View attachment 2306911
Timu inapoingia kwenye project mpya hutakiwi kuwa na matarajio ya ubingwa.Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.