Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hilo la kukatwa 20-30% ni walishindwa kumaliza ndani ya TOP 4.
 
Una uhakika ni £85M?
 
De Jong haitaki hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
 
De Jong haitski hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
 
Timu yetu haiko serious tu tusubiri msimu basi. Hizo sajili 2 hazitufikishi popote hata de jong akija atacheza msimu mzima?? Siku akiumia miezi miwili tunarudi na kina macfred hehehe okay tulihitaji watu wapya hata watano au 6 kuanza kua serious na ligi. Tunashangilia mechi za pre season sijui wacha tuonee.
 
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,

Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL
Na Ronaldo exit he, nayo sio UCL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…