Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
Sure, majukumu yake yangeishia kwenye level ya vikao vya board.Kama na fununu za Sir Alex ameenda carrington kwa ajili ya hii issue basi ni wazi kabisa mzee anazeeka vibaya na ibabidi awe tu anakuja kuangalia mpira OT aache kuinfluence mambo..
Eti anakaa na klabu kujadili mstakabali wake..hii ni dharau mchezaji anamkataba bado mwaka mmoja alafu analeta ujinga. .atafute timu aondoke.
Eti anakaa na klabu kujadili mstakabali wake..hii ni dharau mchezaji anamkataba bado mwaka mmoja alafu analeta ujinga. .atafute timu aondoke.
Hilo la kukatwa 20-30% ni walishindwa kumaliza ndani ya TOP 4.Point yangu ni kwamba Ten hag alisema hatoentertain big price signing. alikuwa anamaanisha bei gani?
Pili, hajapewa blank cheque, kapewa Badget, very limited ndio maana tunaona speed na namba ya wachezaji wanaosajiliwa na watakaoishia kusajiliwa, sasa unaoperate under such a limited budget, bado £85M inaendelea kuwa hela ya kawaida?
ukumbuke Man utd hii inahitaji kuwa overhauled? at least wachezaji saba wanapaswa kuwa replaced kwenye first timu yetu? tunaweza fanya hivyo kwa bei za namna hiyo?
kuna taarifa, wachezaji wote wamekatwa mishahara between 20-30%, maana ake hatuko vizuri kifedha, sasa inakuwaje tutoe hela ndefu namna hiyo?
Kama huku wachezaji wanakatwa mishahara tunamng'angania de jong wa nini wakati ishajulikana hayuko tayali kupunguzwa mshahara huko aliko? we want to make him the highest paid?
bei ya kwanza ya de jong ilikuwa pound 55, mi nilijua imeongezwa kufikia pound 85 sababu baca wameomba wapewe na hela ya kumlipa madeni yake, kumbe sio, sasa bei imepanda kwa msingi gani?
Very average..Wale mliofatilia mechi za pre season, mnaonaje kiwango wa Bruno Fernandes?
Naona wanasema hawakufikia muhafaka ronaldo anataka kusepa timu inataka abaki.Jana kuliendaje pale carrington??
Wale mliofatilia mechi za pre season, mnaonaje kiwango wa Bruno Fernandes?
Una uhakika ni £85M?Point yangu ni kwamba Ten hag alisema hatoentertain big price signing. alikuwa anamaanisha bei gani?
Pili, hajapewa blank cheque, kapewa Badget, very limited ndio maana tunaona speed na namba ya wachezaji wanaosajiliwa na watakaoishia kusajiliwa, sasa unaoperate under such a limited budget, bado £85M inaendelea kuwa hela ya kawaida?
ukumbuke Man utd hii inahitaji kuwa overhauled? at least wachezaji saba wanapaswa kuwa replaced kwenye first timu yetu? tunaweza fanya hivyo kwa bei za namna hiyo?
kuna taarifa, wachezaji wote wamekatwa mishahara between 20-30%, maana ake hatuko vizuri kifedha, sasa inakuwaje tutoe hela ndefu namna hiyo?
Kama huku wachezaji wanakatwa mishahara tunamng'angania de jong wa nini wakati ishajulikana hayuko tayali kupunguzwa mshahara huko aliko? we want to make him the highest paid?
bei ya kwanza ya de jong ilikuwa pound 55, mi nilijua imeongezwa kufikia pound 85 sababu baca wameomba wapewe na hela ya kumlipa madeni yake, kumbe sio, sasa bei imepanda kwa msingi gani?
Euro mil 85 sio paundiUna uhakika ni £85M?
Fatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,De Jong haitski hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
Na source zenu za udakuDe Jong haitski hata kuisikia Manure
Kasema akilazimishwa kutoka Camp Nou basi ni darajani.
Kukosa UCL kitawagharimu sana
ludi kujichekesha kule wewe uzi umekosa wachangiaji kajichekeshe kuleRonaldo anajuta sana kuingia mkenge kwa hili timu
Na Ronaldo exit he, nayo sio UCLFatilia vzr shida sio UCL , Kuna mengi Sana kwenye sakata la De jong, Dejong ana wadai Barca , halafu haipend tu man u ,
Siku hizi wachwzaj wanaangalia pesa kwanza kabla ya UCL