Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa dirisha hili la usajili linavyoenda naona msimu ujao utakuwa wa mateso vilevile..City wataendelea kutuswaga kama mang'ombe..Alvarez,Haaland,Kelvin Philips wote ndani na ni bingwa mtetezi huyo.
 
Kwa dirisha hili la usajili linavyoenda naona msimu ujao utakuwa wa mateso vilevile..City wataendelea kutuswaga kama mang'ombe..Alvarez,Haaland,Kelvin Philips wote ndani na ni bingwa mtetezi huyo.
Lakin Bado atafungwa na crystal palace
 
Ile siku imewadia nimeamka asubuhi napita mitaa ya kariakoo naona watu wanalia sana
mpaka wengine wanagalagala chini.

Nikajiuliza kuna nini leo nikaona nimuulize mmoja wao hakasema hatulii sababu tuna uzuni tunalia sababu tuna furaha
iliyopitiliza bado nikaona jibu lake halija ni furahisha nikabidi nimuulize mwingine kuna nini leo akanambia huku akilia sana kwa machozi ya furaha


Timu kipenzi cha watu timu ya dunia timu yenye ipo mioyoni mwa watu timu watu wasipoiona uwanjani wanakosa amani ipo uwanjani leo hakamalizia kwa kusema.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha


Prediction

Manchester 4 vs Liverpool 2.



View attachment 2287702View attachment 2287703
 
 
Kwa hii man u legelege Kama utumbo wa konokono mkuifunga Liverpool mniete mbwa Niko pale nimekaa
 
Man u ni ile ile kilichobadilika ni jersey tu ..

Maguire ,rashford ,degea ,Sancho ,AwB,
wale wote waliopigwa misumari ya moto 9 ndio hao hao
Hata Thomas Tuchel aliikuta chelsea ile ile akaibadili mpaka ikachukua uefa,trust the process
 
Wewe ni bogus kabisa. Samahani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…