Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We mjinga mwenzako kaweka namba halafu wewe unaleta upuuzi shwain
 
We mjinga mwenzako kaweka namba halafu wewe unaleta upuuzi shwain
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
 
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
Nawewe weka namba
 
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
Mmeanza kujenga mnara wa babel
 
Lingard anaenda MLS asee kweli ubishoo kazi.
 
Hivi usajili utatuacha salama??

Dejong vipi mbona anakunyasana. Tuliwaacha wakina matic na ndio walau aikuwa box to box wetu. Wale Watoto waliokwenda Thailand yaani labda wakomae Sana, Kwa sababu punzi zao bado kidogo.
 
Jurgen Klopp’s first question at the press conference:

“The first question I have. Did it look like this yesterday when Man United was here as well?”

Reporters:

“NO.”

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa napitia haka kavideo wachezaji wakiwa kwenye flight Pana jambo nili note...

1. Sion dalili ya mchezaji kujiona wa maana kuliko wengine.
2. Kocha anauhakika akitaka ukileta habari zako za ujuaji kuweka bench.
3. Sioni Nafasi ya Ronaldo katika kuimarisha nidhamu ya timu. Ni hatari kumuweka kwenye 👗 room.
4. Namuona ETH kiongoz atakayeweza kuwasimamia vzr.. nakumbuka solsher aliwanyamazia Sana. ETH anaonekana pamoja na urafiki ni MTU serious. Ref kule ajax antisocial Kwa wachezaji.

 
Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja.
Kunbuka mfumonwa ETH ni viungo wengi na washambuliaji wa2, viungo 5 bekin3
 
Rent free
 
Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja.
Wanacheza mkuu, kuna Mifumo mingi sana na mechi za kutosha. Eriksen anaweza cheza pembeni, no ya Bruno ama kiungo wa kawaida.

Siku unacheza na watoto wamepaki basi unawatupia tu wote humo ndani, siku mechi kubwa unahitaji kupress mmoja anakaa benchi kupisha kina fred etc.,
 
Mkuu ukiishiwa matusi (ya kumtukana) niambie nikuazime.
 
[emoji981] “Which team do you look forward to playing most this season?”

[emoji860] Erling Haaland: “I don’t like to say the words but… Manchester United, yeah.”

[emoji392] @Manchester_Utdfc
 
[emoji981] “Which team do you look forward to playing most this season?”

[emoji860] Erling Haaland: “I don’t like to say the words but… Manchester United, yeah.”

[emoji392] @Manchester_Utdfc
Dahh tunadharaulika Sana
 
Vipi de jong unamuona hakicheza namba ngapi.
 
Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja
Pep system hiyo, Double 8/10


Lazima uwe na kiburi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…