Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli kabisa.
 
Hata ingekuwa mimi nisingependa kukaa wala kufanya kazi Manchester.

Hali ya hewa ya pale ni mbaya mno kwa waliozoea kukaa maeneo ya joto.
Sio kweli bhn, mbn wachezaji walikuwa wanakaa miaka mingi tu enzi zile? Tatizo ni timu iko hovyo kwa ss.
 
Tuna wachezaji ambao hawauziki alafu tunalaumu watu, timu inalipa lipa hovyo mapesa kibao wachezaji average unategemea nini.
 
Sio kweli bhn, mbn wachezaji walikuwa wanakaa miaka mingi tu enzi zile? Tatizo ni timu iko hovyo kwa ss.
Hao waliokaa ni kina nani? Core ya Timu yetu ilikuwa na watu wa ulaya wengi, Tevez alikimbia, Heinze ndio original Snake hata kabla ya Di maria, kleberson kazingua, Veron kazingua, Forlan kazingua etc.

Wachezaji ambao tulikaa nao kidogo ni Rafael, Fabio, Valencia na Anderson, na hawa wawili Rafael na Fabio wametoka academy hivyo walikulia pale Valencia Tayari alikua na Uzoefu pia tulimtoa wigan, Anderson pekee ndio ali adapt.

Wachezaji wa Ulaya wengi wanafit Man U mfano kutoka Uholanzi tuna malegend wengi, Ufaransa, Ureno etc
 
Rafael na fabio walikuwa academy ya mufc ? walisainiwa 2008
 
We mjinga mwenzako kaweka namba halafu wewe unaleta upuuzi shwain
 
We mjinga mwenzako kaweka namba halafu wewe unaleta upuuzi shwain
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
 
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
Nawewe weka namba
 
Hizi stress za UMASIKINI na ugumu wa maisha pelekea ukoo wako na waliokuzaa, hakuna sehemu nimetukana mtu hapa kwahiyo usiniparamie hovyo.

Siwezi kukaa kuanza kutukanana na mtu mwenye akili daraja la tatu.
Mmeanza kujenga mnara wa babel
 
Lingard anaenda MLS asee kweli ubishoo kazi.
 
Hivi usajili utatuacha salama??

Dejong vipi mbona anakunyasana. Tuliwaacha wakina matic na ndio walau aikuwa box to box wetu. Wale Watoto waliokwenda Thailand yaani labda wakomae Sana, Kwa sababu punzi zao bado kidogo.
 
Jurgen Klopp’s first question at the press conference:

“The first question I have. Did it look like this yesterday when Man United was here as well?”

Reporters:

“NO.”

 
Nilikuwa napitia haka kavideo wachezaji wakiwa kwenye flight Pana jambo nili note...

1. Sion dalili ya mchezaji kujiona wa maana kuliko wengine.
2. Kocha anauhakika akitaka ukileta habari zako za ujuaji kuweka bench.
3. Sioni Nafasi ya Ronaldo katika kuimarisha nidhamu ya timu. Ni hatari kumuweka kwenye 👗 room.
4. Namuona ETH kiongoz atakayeweza kuwasimamia vzr.. nakumbuka solsher aliwanyamazia Sana. ETH anaonekana pamoja na urafiki ni MTU serious. Ref kule ajax antisocial Kwa wachezaji.

 
Mkuu Chief-Mkwawa hivi kuna uwezekano wa ericksen kucheza kwa pamoja na Fernandez ndani ya mechi moja.

Maana naona viwango vyao kama ni vile vile tu wote ni wazuri kwenye kutengeneza nafasi.

Nipe takwimu zako mkuu kama wanaweza cheza pamoja.
Kunbuka mfumonwa ETH ni viungo wengi na washambuliaji wa2, viungo 5 bekin3
 
Rent free
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…