Manchester United (Red Devils) | Special Thread

One Season wonder Kwa pesa Ile.... N Kwa clip moja niliiyoiona control na first touch mbovu vile....overrated!
Wakati Mbape anasajiliwa na PSG kutoka monaco alikua ameshine season ngapi as world beater? Even salah you guys called him one season wonder.
 
Unafikili son anaweza kuacha kucheza uefa aje kwenye manyang'ao wanaoenda kucheza na spakitakomosiko ,furakifuti ,renjazii,sijui selitiki huko uropa

Acha upimbi basi
Kinachowasumbua hawa bado wanajiona wapo Top kama enzi za Babu yao Ferguson na yule refa wao Howard Webb, Hivi sasa hawana soko tena, hawana mvuto tena kwa wachezaji sasa hivi hata Newcastle ana battle nao vizuri tu kwenye usajili na mchezaji anachukua.
 
Unafikili son anaweza kuacha kucheza uefa aje kwenye manyang'ao wanaoenda kucheza na spakitakomosiko ,furakifuti ,renjazii,sijui selitiki huko uropa

Acha upimbi basi
Hata hivyo alisha sema haipendi United,hawezi kufanya huo upumbavu.
 
Siyo kweli. Sema United Kutokuwa kwenye mashindano ya UCL kunapunguza mvuto maana wachezaji wengi wana hitaji kucheza kwenye mashindano hayo. Same kwa Gunnerz,Wachezaji wanawatosa sababu hiyo.

Tofauti na hivyo ni Ile mchezaji binafsi ana taka kucheza timu flani.

Mfano Touchmen alichagua Madrid Ingali timu nyingi zilikuwa zikimhitaji akiwemo psg

Perisic kuchagua Spurs over Chelsea

Mbape kuamua kubaki over kwenda madrid
 
Joao Felix ni mchezaji mkubwa sana siyo kama kile kizazi cha Ajax ya 2019.

Bahati mbaya amekuwa akisumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara.

Akiwa fit ni mchezaji muhimu sana kwenye kikosi cha Atletico.
 
Patrick Schick
 
Unafikili son anaweza kuacha kucheza uefa aje kwenye manyang'ao wanaoenda kucheza na spakitakomosiko ,furakifuti ,renjazii,sijui selitiki huko uropa

Acha upimbi basi
Af Wewe Bhn Alikuja Di Maria Man United Na Wala Haishiriki Uefa Wala Europa Ndo Itakuwa Son?!, Hana Msuli Wa Kuikataa Man United Huyo Son Kama Kweli Itokee United Wamemfikia Na Iwe Ndo Timu Pekee Kubwa Inayohitaji Saini Yake.
 
Af Wewe Bhn Alikuja Di Maria Man United Na Wala Haishiriki Uefa Wala Europa Ndo Itakuwa Son?!, Hana Msuli Wa Kuikataa Man United Huyo Son Kama Kweli Itokee United Wamemfikia Na Iwe Ndo Timu Pekee Kubwa Inayohitaji Saini Yake.
Ni swala la muda tu ,ila hii man utd inaenda kuharibikiwa na hakuna mchezaji yeyote star anayewaza kufika mbali anaweza sogeza mkono wake na pen kutia Saini kwa hii timu
walahi naapia kwa mwenyezi Mungu hakuna ....hata huyo Ronaldo kaja kula pension tu na ulegend+ mashabiki wanaomkubali kwani anaelekea ukingoni ...!
 
Sawa, ila Pia Ni Suala La Muda Tu Kwa United Kurudi Kwenye Ubora Kama Zamani Hakuna Kinachoshindikana....Mambo Huenda Na Kubadilika Kama Leo Hii AC Millan Wamerudisha Ufalme Wao Serie A Baada Ya Kipindi Kirefu Kupita...Hata Kwa United Pia Ni Jambo Linalowezekana Kutokea, Af Hakuna Asiyejua Kama Ronaldo Anamalizia Mpira Wake Pale United We Ulitaka Aje Amalizie Etihad?? Apo Etihad Hakuna Kipya Mngeweza Kumu Offer Ambacho Hajakipata Man United Pindi Alipokuwa Anacheza Wakati Ule Na Huko Madrid Na Juve Alikocheza Pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…