Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unalipwa 250,000 kwa wiki na unasubiri kocha akuambie ujiposition vipi, ukabe vipi na ufanye movements gani?

Hii inaingia akilini? Kuna kiasi cha mshahara kikifika inamaanisha wewe una uwezo wa kudictate majukumu yako kabla haujaambiwa.
 
Hii timu Ole alisema anaijenga na alianza kwa kumnunua Maguire huyu Ten aliyefika na yeye kasema anaijenga inabidi aanze kwa kumuuza Maguire.

Au mnaonaje ndugu zangu?
wakati kasema anasubiri kufanyanae kazi labda mpigie mwambie amuuze
 
Imagine hii timu haifanyi vizuri kwa sasa, ila tayari tickets zote za msimu ujao 2022/2023 zimeisha. Najiuliza ingekuwa kwny ubora kama wa liver/man city ingekuwaje
Hizo tickets zimeuzwa vp wakati hata ratiba ya ligi msimu ujao haijatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…