Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ten hag ni top coach, elite coach, lakini swali la kumuuliza je ataweza kuhandle dressiing room ya united if things are getting worse? Mikel Arteta aliweza, kazi kwake. Ukilose dressing room kama kocha you're fired. Bahati yake ni kuwa toxic player kama Pogba wanaondoka.
 
Youtube hakuna mchezaji mbaya.

Marquinhos ana speed ila kuna vitu vingi anatakiwa kufanyia kazi haswa finishing, ila skills na pace yuko sawa.
 
Jamaaa keshaadress hilo na amegundua ndio kitu kikubwa kinachoifelisha man u,

Kujua tatizo ni hatua muhim sn katika kutatua tatizo hivo ngoja tuone itavokuwa
 
Katika moja ya mahojiano yake amesema dressing room ni moja ya kitu cha msingi kwa team kufanya vizuri anaonekana hilo swala analitambua na ni kocha ambaye mwenye misimamo kwa wachezaji ngoja tuone akija United
 
Mimi nasema na narudia tusinge droo na kufungwa mechi mbili tatu na timu zisizokuwa na mbele Wala nyuma tungekuwa na Afya kwenye msimamo.

Pana wachezaji walituangusha sana
 
Advantage mliyo nayo United ni kwamba mmepumzika almost wiki mbili kabla ya kukutana na Palace ambao watakua wamepumzika siku mbili kabla ya kukutana na nyinyi.
Utakuwa na unauelewa mdogo sana wa masuala ya mpira na michezo kwa ujumla. Si kwa ubaya hufahamu unachokizungumza.

Mchezo wowote ule wa ushindani kadri unavyozidi kukaa muda mrefu bila kucheza mchezo wa ushindani unakuwa ktk mazingira hatari zaidi.

Ukiwa unafanya training kila siku na wachezaji wale wale mnakuwa na maelekezo yale yale ya aina moja. Ni tofauti kabisa ukicheza na watu wenye maelekezo tofauti na wewe (timu pinzani). Kuna ssb kwa nn kila wiki unapaswa kucheza mechi na sio baada ya wiki 2.
 
Na hii ndiyo sababu ya bench kuzoofisha kiwango cha mchezaji.
 
Daah ndo tunaenda pata furaha ya mwisho wiki hii ndo itakuwa basi mpaka msimu ujao
Usijali sana mwaka huu hatuishi kiunyonge, muda mfupi tu baada EPL kuisha unaanza mchaka mchaka wa World Cup, kama kawaida tunaendelea kuwaona kina Maguire.
Mpaka kombe la dunia linaisha ligi kuu nayo inakua imekaribia kuanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…