Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Mkuu suala la kukaba Kipindi cha Ole lilikuwa fixed, as of Msimu uliopita tulikuwa nafasi ya 3 (kipindi cha mou tulikuwa bottom 3 kama sijakosea) tulipitwa na Leeds na Southampton tu, kwa top 6 sisi tulikuwa juu.
View attachment 2206484
Issue kwangu ninayoiona ni Tunakabia wapi, kipindi Cha ole ama Timu ya Taifa uingereza timu inakaa Nyuma, unasubiri adui umkabie langoni mwako, hapa ngumu kukuta nafasi na kuna wachezaji wakiwa compact hawawi exposed sana mfano Maguire. Japo kuna match hizo nafasi zilikuwepo midfield na tulifungwa mashuti ya mbali ya kutosha.
RR yeye ama Klop na makocha wengine wa kisasa wao wana High line pressing, ambao ni mfumo mpya kwetu, even ole alijaribu mwanzo wa msimu, kifupi wachezaji wetu wengi wamefeli huu mfumo, sababu inahitaji mukabe kwa mstari na sio mtu mmoja azunguke uwanja mzima, akitoka mmoja kukaba ndio pale unakuta bonge la nafasi linaachwa.
In short mnacheza mpira wa kizamani.