Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chief-Mkwawa

Unaona nilichokuwa nakwambia kuhusu Rashford wa sasa?
That still Explain nothing Mkuu, Unamuonaje Varane wa Sasa? Sancho wa sasa? Mc tominay wa sasa? Bruno wa sasa? Even hata Huyo Ronaldo, wachezaji wachache sana utasema wana perform kwa level yao, Ukitoa Fred sijui nani mwengine.

Coincidence? No. Akicheza Rashford sisi wabovu, asipocheza Rashford vile vile ni Wabovu, Akiwepo Maguire Tunacheza Vibaya na Asipokuepo Maguire pia Tunacheza Vibaya.

Kutafuta Excuse na kuridhisha Nyoyo Zetu tunatafuta Ng'ombe wa Kafara, tumponde wee, then zigo lote la lawama Tumuangushie yeye. Kifupi mfumo Tunaocheza sasa haufit wachezaji wetu, na Viwango vyao vya sasa Havireflect uwezo wao Halisi.
 
Na huu ndio ukweli, wenye wivu na wajinyonge au wakalilie chooni.
 
🎙 Gary Neville:


“Look at the gaps and the space! It's unbelievable. You don't see any teams in the league give the space that Manchester United do.”

#MUNCHE
Nimeangalia Mechi jana na Gape nimeliona, huwezi Kulaumu Wachezaji kwa lile Gape, mara moja ama mara 2 utasema maybe wamejisahau ila inatokea zaidi ya mara 20 huo ni mfumo.
 
Kwahiyo ETH ndo atarudisha kiwango chake?

Martial ameenda kwa mkopo. Huko nako wanamlalamikia.

Nako kuna shida ya mfumo?
 
Ronaldo amecheza jumla ya mechi 1116. Ana goli 811. Assists 231.

Asipofunga atakupa assist.
 
Hakosagi takwimu, cjui huwa anazitoa wapi, ila jamaa ni professional IT huenda anazitengeneza mwenyewe

Ukitaka Chief Mkwawa akunase ingianaye kwenye Takwimu uone! Nilisita kumwambia aniletee Takwimu za Mbappe v/s Rashford manake ninauhakika angeniletea Takwimu za Rashford zilizo Bora kuliko za Mbappe.
Yani Mchezaji akimbampa atakuketea Takwimu from nowhere.
 
Rashford ana Goli 6 mechi 6 msimu uliopita UCL, na kakutana na Mbape kamfunika Mechi zote 2, jumla alicheza dakika 416

Mbape Ana goli 8 UCL amecheza mechi 10 jumla Dakika 900

Fanya Homework, Gawanya 900 kwa 8 na 416 kwa 6 utapata jibu unalolitaka.
 
Surprisingly mwisho wa yote huonekana anayekataa takwimu ndiyi yupo sahihi.

Same na kipindi cha Ole. Wenzake wanambishia yeye anakuja na takwimu mwishi wa yote Ole kapigwa chini.

Na kwa vile siyo kocha mzuri kama alivyokua anadai Mkwawa hadi leo Ole hana timu
 
Kama Ralf amekubali kua kocha wa Austria hii inamaanisha hata yeye mwenyewe haamini juu ya mipango na visions za united.

Ten Hag kaingizwa cha kike.
 
Mason Greenwood will remain on bail until mid-June over allegations he raped and assaulted a young woman.
A force spokesman said:
“The suspect will remain on conditional bail until the date of the court hearing.”
 
It is understood that Ralf Rangnick's role as a consultant for #mufc will be focused around recruitment and will involve working six days a month for the club.
 
Kama Ralf amekubali kua kocha wa Austria hii inamaanisha hata yeye mwenyewe haamini juu ya mipango na visions za united.

Ten Hag kaingizwa cha kike.
Haipo hivyo. RR atafanya kazi United siku 6 tu kwa mwezi. RR kufanya kazi sehemu mbili haitaharibu mipango yoyote ile kwa United au Austria.

Pia akihojiwa anasema wazi anataka awe sehemu ya watakaoirudisha United juu.
 
Rangnick: “As it seems, Jadon [Sancho] might be out for the rest of the season with his tonsillitis, so he will most likely be unavailable against Brentford.”
 
Rangnick: “As it seems, Jadon [Sancho] might be out for the rest of the season with his tonsillitis, so he will most likely be unavailable against Brentford.”
Hahahaaa tonsils ndio inaweza kumkosesha mechi zilizosalia? Ugonjwa unaoweza kupona ndani ya masaa 24 tu.

Sio bure kuna mambo hayako sawa ndani ya uongozi wa timu. Siamini kama idara ya afya inaweza kutoa report ya kipuuzi kiasi hiki.
 
Jombaa, unatoa wapi nguvu ya kumtetea mchezaji mjinga kama Marcus Rashford?

EtH akijokoroga tu aanze ku-renew mikataba ya vilaza kama hawa maisha yake OT yatakuwa mafupi sana.
 
Jombaa, unatoa wapi nguvu ya kumtetea mchezaji mjinga kama Marcus Rashford?

EtH akijokoroga tu aanze ku-renew mikataba ya vilaza kama hawa maisha yake OT yatakuwa mafupi sana.
Issue mashabiki mnajifanya mnajua sana, kwamba ETH hajui cha kumfanya Rashford wewe huku unajua?

Rashford ameshaprove mara kibao kwamba yeye ni top player, huwezi kuwa mjinga halafu kila msimu unafunga na kutoa Assist zaidi ya 10 ukiwa unatokea pembeni.
 
Kama Ralf amekubali kua kocha wa Austria hii inamaanisha hata yeye mwenyewe haamini juu ya mipango na visions za united.

Ten Hag kaingizwa cha kike.
Kuwa kocha wa taifa ni rahisi kumanage na roles za consultancy kuliko kuwa kocha wa club nyingine.

Kazi ya consultancy ni rahisi kuifanya hata ukiwa nchi ingine permanently.

WC ikiisha wachezaji wanarudi kwenye club zao. Kocha hana kazi tena, anasubiri mechi za kirafiki na michuano mingine.

Kocha wa taifa stars anafanya nini sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…