Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Owen kamsagia sana kunguni Rashford safi sana.
Owen akimalizana na Rashford tunamuomba ahamie kwa Bruno Fernandes.
Huyu jamaa tokea kusajiliwa kwa Ronaldo amekua ni mchezaji wa hovyohovyo sana, anapoteza mipira kizembe sana, pasi zake na zenyewe siku hizi zimekua za hovyo hazifiki kwa mlengwa, anachojua kwa sasa ni kujiangusha tu hovyohovyo na kulalamika kwa refa kutaka mbeleko.
 
yeye na scot ndo walikuwa wanapoteza mipira sana
 
tokea kilipoanza kipindi cha pili mechi ya jana dhidi ya chelsea, scott mctominay alicheza dakika 39 bila ya kupiga pasi sahihi kwa mchezaji mwenzake. Dakika ya 84 ndio alifanikiwa kupiga pasi sahihi. Sijui mshanielewa?
Hamna Kiungo Humo Nashaanga Sana Watu Wanaombeza Pogba Akati Kuna Kiungo Kilaza Kama Huyo Jamaa.
 
Key word: ATTITUDE. Kitu ambacho wachezaji wengi wadogo kama Rashford au Martial hawana huu msimu ila mzee kama CR7 anacho.

Msimu ujao, tujenge timu arround CR7.

Hata kama hatutapata kombe lolote, basi tumpe nafasi ya kuendelea kuvunja rekodi zake.

Pengine zinaweza tupa kitu vilevile, tunaweza tusitoke kapa.

Akiwa na timu nzuri, CR7 anaweza kupa magoli 30+ kila msimu kwa misimu mingine mitatu mfululizo.

Hata huu msimu angekuwa na goli hata 30 bila shida. Basi tu yupo kwenye timu iliyooza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…