Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii spinning uliyoifanya hapa chief naona umeniacha
 

Rash was better
 
Msimu wa Juzi na msimu wa Jana Rashford anafunga Goli 20+ kwenye msimu na Kutoa Assist 10+ zaidi Goal comtribution 30. Misimu yote miwili Aliwazidi wachezaji kibao ikiwemo kina Mane
Mkuu Chief-Mkwawa kwahiyo wakiwekwa sokoni Mane na Rashford yupi atakuwa na soko la haraka na la bei nzuri kati yao?

Kusema ukweli binafsi haya mambo ya takwimu kulinganisha ubora baina ya wachezaji sio muumini sana maana yanadanganya kwa kiasi fulani.
Kuna msemo mmoja wa Pep kwamba kuna wachezaji huwa hawana takwimu nzuri kwenye G/A lakini ndio hufanya timu icheze vizuri. Sasa kwa Rashford unapata ladha kinyume na hii kabisa.

Tofauti ya Rashford na Martial ni kwamba: mmoja ana mbio akiwa na mpira mguuni wakati mwingine ana skills nzuri akiwa na mpira mguuni. Ila wote ni wavivu wanaojiona mastaa.
 
Leo Ronaldo kishipa nimemuweka na muhuni wa kibrazili Gabriel mwamposa..

Najua mtasingizia kuwa katoka msibani😁
 
Rash was better
Ja Mane msimu uliopita uliona mashabiki wa Liverpool wakisema auzwe na hana maana? Hapana. Na mwaka huu anakiwasha so far amekuwa shortlisted kwenye Baloon D or ahead of salah.

Hivyo na mimi nipo hivyo hivyo sababu Rashford msimu huu Hajaclick haimaanishi ni mchezaji mbovu kwa miaka ameprove ni reliable player upande wetu wa kushoto.
 
Hatimaye Magwaya ndunguri yake leo imeshindwa kufanya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…