Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,477
Season zote mbili Chini Ya ole Rashford kaperform much better kuliko Mane. Nimetoa data zangu juu kama una ushahidi mzuri tuletee Mane alikuwa Mzuri kuliko Rashford, especially last season.Kwahiyo Rashford aliwahi kumzidi Mane sio?
Kweli wewe ni Chief manake hakujawahi kuwa na Chief mwenye akili ndiyo mana waliishia kuuliwa na Wajerumani.
Rashford ni winga kwa asili. Assuming he is so good kama unavyodai kwanini namba akaichukua Greenwood na sasa Elanga? Na Sancho akaletwa kwa ajili ya ishu hizo hizo za wings.
Kwakua ni goal scorer mzuri as you say na amecheza ST mara nyingi sasa kwanini same position imewatesa united mpaka akanunuliwa ighalo, Cavani na sasa ronaldo?
Anakaa benchi kufanya nini? Umewahi ona Mbappe au Haaland anakaa benchi mechi muhimu na siyo majeruhi? Rashford kashakaa mara ngapi? Unasema psg wanamtaka hata kesho. Walipeleka ofa ya bei gani kwa united ikakataliwa?
Rashford anatakiwa awe 1v1 na kipa mara ngapi ili ascore goli moja? Mbappe na Haaland wanahitaji nafasi ngapi?
Mbappe na Haaland wamewahi letewa watu wa kujaza nafasi zao na wao wakakaa benchi kwa ajili ya ujio wa hao watu? Akija Icardi hapo united unaamini atakosa namba kwakua Rashford yupo?
Season zote mbili Chini Ya ole Rashford kaperform much better kuliko Mane. Nimetoa data zangu juu kama una ushahidi mzuri tuletee Mane alikuwa Mzuri kuliko Rashford, especially last season.
Hao kina Rashford, Magwaya, Lingard, Martial na Jones waondoke alafu kina Shaw, Fred na Mctomy wapunguziwe dakika za uwanjani tutafute replacement zao kama kweli tunataka utd irudi.Mkuu Hii ni Kazi ya Kocha,
-Greenwood Hayupo,
-Rashford kwangu ni key Player,
-Maguire namuachia Kocha,
-AWB ana umuhimu wake ila Kama kocha hamuelewi beki wa Kati anaweza kumreplace role yake.
-Shaw key player, Full back pekee Utd anaejua kukaba na kushambulia.
-lingard anaondoka
-Mc tominay sio lazima aanze mechi zote ila Tunahitaji Uhuni wake
-Sancho Key Player.
ETH aje tu na DM kwa sasa, then Baada ya Hapo Tutajua Mbivu na Mbichi.
Kweli kabisa mkuu.Hao wachezaji akili zimeshafika mwisho na vipaji pia.
Binafsi sioni haja ya kushikilia mchezaji kisa ni key player wakati huko uwanjani atafanya madudu.
Bora iwe mechi 1 au 2. Sasa mechi zote mambo ni yaleyale.
Hakuna jinsi ukawatetea Rashford, Maguire, Bissaka mashabiki wakakuelewa.
Hao wengine kama Shaw na McTomminay unaweza ukaeleweka. Ila hao watatu wamesha-prove failure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rashford hukatai nn? Yeye na Mangwaya waanze kuondoka kwanza.Kwa Rashford sikatai
Bissaka asepe
Maguire asepe
Shaw pancha hazitamuisha kamwe
MacTominay will never be good enough
Au Ronaldo de lima na Ibrahimovic.Yah! Ni kama vile kina Eric Cantona, Mark Hughes, Steve Bruce and Bryan Robson's mpaka Leo wanavyoota ndoto ya kutwaa UCL ambalo Gerrard analo Sebleni kwake.
Tena mapema sn avuliwe kitambaa.Kuna petition ya kutaka Maguire avuliwe unahodha.
Link hii hapa kwa anayeona hafai;
View attachment 2196817
Mimi nimekuuliza wewe. Wewe ndiyo usemeOle kaondolewa kwa perfomance ya mwaka jana ama mwaka huu?
Hizo siku anazokua mzima na bado hagewi namba kukaa huko pembeni unaziongeleaje?Rashford hajacheza kulia tofauti na msimu huu makocha wote Kuanzia LVG, Mou mpaka Ole anatumika kushoto ama Kati. Labda kwenye mechi kidogo aende kulia ila hajawahi kucheza mfululizo hio namba
Lini Pogba akacheza pembeni na Rashford yupo? Pogba alicheza kushoto Rashford alipofanyiwa Operation ya Mgongo. Na Ole hakumnunua Sancho kuja kumuweka Benchi Rashford, 2 different players ambao wanacheza pamoja.
Acha kuongea usivyovijua hio 4222 haina winga. Na kubase Argument zako kwa kocha wa Muda kumuelezea Rashford wakati yupo zaidi ya miaka 6 ni useless.
Uongo unaendelea lini Ralf kacheza na Chelsea? Toka Ralf awe kocha wetu hatujawahi kucheza na Chelsea.
Pogba hata-renew mkataba wake.
Ataondoka mwisho wa msimu kama free agent.
According to Ralf.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali aende tu
Najaribu kudigest hii prediction uchwara nashindwa.Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha.
Prediction arsenal 0 Manchester united 3View attachment 2197223
2020/2021Hujaleta Data yoyote Ndugu Bali umeeleza hisisa tu ambazo kikawaida Huwa hisia haziprove facts.
Ungeleta hizi 👇ndiyo ningetafsiri kuwa ni Data.
Mane v/s Rashford
Season: ??
Mane 48 Rashford 57Game played: ??
Mane 16 rashford 21Goal Scored: ??
Mane 9 Rash 15Assists: ??
Chance created: ??
Mane 1.7 Epl na 0.4 UCL average 1.05Key Passes: ??
Probably less than one kwa woteCrosses: ??
Mane epl 2.7 na ucl 1.7 average 2.2Number of Shots: ??
On Targets: ??
Mane epl 2.3 na UCL 1.2 average 1.75Takes on: ??
Dribbles: ??
Ukisort per min GoalsMinutes per goal: ??
Haya Soma hizo data Niambie last season Nani alikua Bora.Kama hujui hizo ndiyo zinazoitwa Data na ndiyo tunapaswa kuzitafsiri, ungeleta hizo na sio hisia zako.
Hio Logic unayoleta haina mantiki, kwa hio Scholes, Giggs, Neville, na wengineo walikuwa ni wachezaji wabaya? Sababu timu yenye Hadhi ni Man united?Hizo siku anazokua mzima na bado hagewi namba kukaa huko pembeni unaziongeleaje?
4 2 2 2 haina winga au siyo? Simply means hata kocha wa muda hakumuamini Rashford so what?
Formation ilikua 4 3 1 2 mechi ilitoka suluhu ya moja moja. Na ni kweli kocha hakua Ralf.
Regardless bado hakuna kocha ambaye alimuangalia Rashford akasema "Huyu ni Mbappe/ Haaland siwezi muweka benchi"
Rashford anaweza jikuta timu pekee yenye hadhi atakayochezea ni united. Waweza sema same story kwa Mbappe na Haaland?
Mimi nawalaumu sana mashabiki wa Man United wanaokua uwanjani halafu wanamkaushia huyu mjinga, ilitakiwa kila akigusa mpira tu mashabiki wote wanamzomea mpaka yeye mwenyewe ataomba akae bench.Tena mapema sn avuliwe kitambaa.
Huyu fala anai-disrespect sana badge. Kuna siku nilirusha chupa ktk Tv yangu kwa hasira alitoa boko ile mechi ya Leicester.Mimi nawalaumu sana mashabiki wa Man United wanaokua uwanjani halafu wanamkaushia huyu mjinga, ilitakiwa kila akigusa mpira tu mashabiki wote wanamzomea mpaka yeye mwenyewe ataomba akae bench.
Uongozi wa United wanatufanyia dharau ya makusudi kabisa mashabiki kwa kung'ang'ania kumchezesha Maguire hali yakua wanajua hana msaada wowote na timu zaidi ya kutuchomea nyumba.