Mlindeni mshambuliaji wenu mana akivunjwa mguu hakuna kufunga tena 😁😁Hakuna shabiki anaweza kumlipua Halima Gwaya anapewa jamba-jamba tu.
Any way ,unaonekana wewe ni kilaza ,habari za kugushi kama hizi unatuletea sisi city boyz ,the owner of city of Manchester....!Hii ni kweli au utani? Yule mshabiki wa man cityView attachment 2196527
Hatuna lakini wage Imbalance kwa sasa, Wachezaji wote waliokuja Kipindi cha Ole wana mishahara chini ya 300k (Ukitoa Ronaldo) . Wengi wanacheza baina ya 150k na 250k alieongezewa ni Bruno tu. Na wengi wenye Mishahara mikubwa wanaondoka.Nadhani mtu wa recruitment alitakiwa afanye negotiation na mchezaji.
Kuwa na wage imbalance nayo ni shida sana.
Sasa hivi watu kama Rashford, Maguire, DeGea kuwaondoa itasumbua sana. Mchezaji analipwa £300k kwa week na output ni zero.
Tuanze moja. Mishahara haitakiwi kuzidi £200k. Utaongezewa mshahara ikiwa unaonesha juhudi za kueleweka uwanjani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo wewe liverpool fan unajua sana mambo ya bodi ya man u kuliko sisi? Unafurahisha kweli chief 😂Hiyo Structure munayoiongelea Mitandaoni kumbukeni ni Maoni ya Watu na sio Agenda iliyojadiliwa na kuwa implemented na Bodi ya Timu.
So, nawashauri punguzeni too Much false hope na rudini kwenye reality.
Ukweli ni kwamba there's nothing going on kinachoitwa new Team structure except media rumors! You'll never see something like that kwenye official website ya Man U.
Achana nae mkuu, liverpool huyo anajifariji tuNgoja nimsaidie mkuu.....wewe structure unayotaka kuiona ni ipi?
kuna director of football
Kuna technical director
Kuna consultant pia
Kuna executive
hiyo sio structure?
Kwasasa Manchester United wamejitahidi kugawanya majukumu kulingana na majukumu na hiyo ndio structure anayoizungumzia huyo mkuu hapo juu
Sio msimu huu tu, inasemekana Pogba ndio 👋paul pogba upo uwezekano wa kutokucheza tena msimu huu, daktari ametanabahisha anaweza kuwa nje kwa wiki 4.
Hatuna lakini wage Imbalance kwa sasa, Wachezaji wote waliokuja Kipindi cha Ole wana mishahara chini ya 300k (Ukitoa Ronaldo) . Wengi wanacheza baina ya 150k na 250k alieongezewa ni Bruno tu. Na wengi wenye Mishahara mikubwa wanaondoka.
Man united mpo desperate sana na mafanikio, nasikia uongozi ulitaka umpe Ten Hag kuwa sole controller wa kila kitu kiufundi.
Kwahiyo wewe liverpool fan unajua sana mambo ya bodi ya man u kuliko sisi? Unafurahisha kweli chief 😂
Wewe jamaa badala ukapambane na Liverpool yako ,upo huku kutoa ushauri bodi ya manyunbu ,huelewekiSio Bodi ya Manchester tu, kiujumla Kuna kipi kwenye mpira unachokijua wewe kunizidi mimi?
Rashford hata Kesho PSG wanamtaka, na kwangu mimi Level ya Rahford Haipo Mbali sana na Mbape na Haaland, hatujakua tu Stable.Amini usiamini Mchezaji yoyote anayeanzi £150K na kuendelea basi hatoondoka kwenye Timu mpaka amalize Mkataba wake! Kumbuka mpira no all about money.
Hao Wachezaji wenu wote ni overpayed hivyo wakitoka hapo Mishahara yao itashuka mana hakuna atakayemlipa Rashford £200K wakati thamani yake halisi ni £100K per week. Hivyo hawatokubali kuhama ili wakakatwe Mishahara! Kitakachofuati ni kama Özil tu alibakia Arsenal kwasababu ya Mshahara! Au Loris Karius mpaka Leo yupo Liverpool ingawa hachezi kwasababu ya Mshahara tu anasubiri Mkataba wake umalize.
Mkuu Hii ni Kazi ya Kocha,Endapo kila kitu kitakwenda kama kinavyotaka kuonekana,tutabaki na tatizo moja tu la uzawa.
Man utd ina wachezaji wazawa wengi na tangu kipindi cha Ole wamekuwa wakicheza kikosi cha kwanza. Na mambo yanapokuwa tofauti wachambuzi wazawa wanaanzisha kelele hata kama uhalisia unaonekana.
Inabidi tupunguze haya makelele kwa kupunguza idadi ya wazawa ndani ya kikosi chetu.
rashford
maguire
wanbisaka
shaw
lingard
mctominey
greenwood
sancho
Chief-Mkwawa unalisemeaje hili wakati tunajiandaa kuitawala ulaya miaka 2 ijayo?
Mkataba mpya wa Bruno aliosaini juzi, ulipitishwa na ETH na Ralf?Hatuna lakini wage Imbalance kwa sasa, Wachezaji wote waliokuja Kipindi cha Ole wana mishahara chini ya 300k (Ukitoa Ronaldo) . Wengi wanacheza baina ya 150k na 250k alieongezewa ni Bruno tu. Na wengi wenye Mishahara mikubwa wanaondoka.
ETH na Ralf wakiweza kuwaondoa hata 50% ya hao, nitaamini rebuilding inafanyika bila upendeleo.Endapo kila kitu kitakwenda kama kinavyotaka kuonekana,tutabaki na tatizo moja tu la uzawa.
Man utd ina wachezaji wazawa wengi na tangu kipindi cha Ole wamekuwa wakicheza kikosi cha kwanza. Na mambo yanapokuwa tofauti wachambuzi wazawa wanaanzisha kelele hata kama uhalisia unaonekana.
Inabidi tupunguze haya makelele kwa kupunguza idadi ya wazawa ndani ya kikosi chetu.
rashford
maguire
wanbisaka
shaw
lingard
mctominey
greenwood
sancho
Chief-Mkwawa unalisemeaje hili wakati tunajiandaa kuitawala ulaya miaka 2 ijayo?
Sasa uwalipe hela zote mwisho wa siku wanageuka mafaza wasioambilika.Rashford hata Kesho PSG wanamtaka, na kwangu mimi Level ya Rahford Haipo Mbali sana na Mbape na Haaland, hatujakua tu Stable.
Pia Rashford ni proven Big Game player, Japo sio Striker ila Ana Magoli ya Kutosha Vs Top 6 EPL na Hata Ulaya Ana Goli za Kutosha hizo mechi chache vs Timu kubwa.
Na Hizo hela Wasipolipwa Wachezaji zinaingia mifukoni mwa Glazzer, Man U kuna Hela nyingi sana mkuu, na Ku spend Kote Huko Man U bado ni Katika timu zenye Ratio Ndogo sana baina ya Pato na Mishahara tunayolipa.
Hao wachezaji akili zimeshafika mwisho na vipaji pia.Mkuu Hii ni Kazi ya Kocha,
-Greenwood Hayupo,
-Rashford kwangu ni key Player,
-Maguire namuachia Kocha,
-AWB ana umuhimu wake ila Kama kocha hamuelewi beki wa Kati anaweza kumreplace role yake.
-Shaw key player, Full back pekee Utd anaejua kukaba na kushambulia.
-lingard anaondoka
-Mc tominay sio lazima aanze mechi zote ila Tunahitaji Uhuni wake
-Sancho Key Player.
ETH aje tu na DM kwa sasa, then Baada ya Hapo Tutajua Mbivu na Mbichi.