Ndio hivyo tena RR kashamuanika madhaifu yake.
Nakumbuka kuna game hakukuwa na Cavani wala Ronaldo lakini bado dogo hakupata namba kikosi cha kwanza,ndipo kakaanzisha sera za kuondoka kuwa hana imani na Ralf.
Hii ndio rebuild aliyotuachia Ole akituaminisha kuwa tuko kwenye right direction.