Nani atanisaidia... solsicher aliwapanga watoto wa academy graduates, tulishinda shida mechi ngumu wakati alivyoanza kama mnakumbuka.. tulijipigia PSG,an city Hawa piga, ...ni nini kilimfanya aaache Ile mbinu ya kuwachanganya watoto.. nisaidieni jawabu
View attachment 2182574
miaka 3 iliopita tulifungwa magoli 4 na everton, wachezaji 9 waliokuwepo kwenye kikosi kile pia walikuwepo kwenye kikosi kilichocheza jana. Ujinga nao ni kipaji. fuentte