Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha


Kila napo pita watu wanafurahi kweli kweli.
Leo nimepita hospitali ya Muhimbili kila unaepishana nae usoni anatabasamu, kuingia wodini kila mgonjwa anatabasamu tu, mara kapita nesi nae anafuraha kama yote kumuuliza nini sababu ndio akafunguka kua leo Manchester inacheza, akanidokeza kua siku Man U ikicheza wagonjwa hua hawaombi hata panadol maana kitendo cha United kua uwanjani tu wagonjwa huwa wanapata relief.
 
man to man intensity ndio udhaifu mkubwa wa manchester united. kuanzia bruno, fred, scott, rashford, maguire, de gea, wan bissaka kwa pamoja wana ugonjwa wa kushindwa kufanya maamuzi sahihi wanapodhibitiwa na adui(pressing). ndio maana tunapocheza na liverpool, man city, chelsea ya tuchel, atletico madrid kipindi cha kwanza tunateseka.
 
paul mitchel alikuwepo uwanjani hapo juzi akishuhudia mechi ya U18 na alikaa pamoja na ralf rangnick. Huyu jamaa ni mmoja kati ya waingereza wachache wenye jicho la kuona kwa mbali vipaji vya wachezaji. Aliwahi kufanya kazi mara mbili na mauricio pochettino kabla hajatimkia leipzig na kufanya kazi na rangnick, kwa sasa ni sports director wa monaco. Alipokuwa spurs alihusika na usajili wa son, trippier, dele alli kutoja daraja la kwanza na tobby aldeweireld n.k. Baadhi ya vyanzo vinadai yupo manchester kwa sababu ya familia yake na vyanzo vyengine vinaripoti ya kwamba manchester united wanamuhitaji aongeze nguvu kwenye jopo la wasaka vipaji.
 
Itakuwa NI mirembe hyo na sio muhimbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…