Maguire bwana, huyu amekuwa uchochoro wa goli nyingi tunazofungwa. 70% ya magoli ya kizembe msimu huu yametokana na yeye. Sijui kwanini huwa linapangwa tu.
Maguire bwana, huyu amekuwa uchochoro wa goli nyingi tunazofungwa. 70% ya magoli ya kizembe msimu huu yametokana na yeye. Sijui kwanini huwa linapangwa tu.
Maguire bwana, huyu amekuwa uchochoro wa goli nyingi tunazofungwa. 70% ya magoli ya kizembe msimu huu yametokana na yeye. Sijui kwanini huwa linapangwa tu.
Yani atletico wanapaki basi kina bruno wanashindwa kuingia pale kati basi ata washambulie kwa nguvu ila nikiwaza beki zilizo baki nyuma ni Maguire na varane sioni afadhari