Spurs ana point 39 na viporoo vitatu meanz akitokea kuwin vyote atakuwa na point 48.Man UTD atashuka chini,Spurs atapanda juu bilA kumsahau gunnerz pia ana viporoo vitatu now ana point 42 akiwin viporoo vyote anakuwa na 51.
Spurs ana point 39 na viporoo vitatu meanz akitokea kuwin vyote atakuwa na point 48.Man UTD atashuka chini,Spurs atapanda juu bilA kumsahau gunnerz pia ana viporoo vitatu now ana point 42 akiwin viporoo vyote anakuwa na 51.
Tofauti ya point kati ya man utd na manchester city baada ya michezo 26 kila mmoja ni point 17 tu!
We are among the title contenders again after finding our form.