Yes,usijekuta demu kapigwa chini akaamua aje na huu mchongo kumuharibia dogo.kiukweli simtetei Greenwood, ila haya mambo yasikieni tu, pengine mwanamke anafanya maksudi kabisa akiwa na malengo yake, mpaka anaamua kurekodi kila kitu hili apate ushahidi, huwezi jua, ukisha kuwa maarufu inakubidi uishi kwa umakini sana, hasa suala la wanawake, uzuri ni kwamba wenzetu wanafuata misingi ya sheria, tusubiri kila kitu kitakuwa wazi.
Mkuu audio inapatikana wapi?Ofcourse mkuu sheria itafuata mkondo, ipo small chance anasingiziwa ila kuna zaidi ya asilimia 90 ni yeye, kama mkuu Tanayzer alivyosema baada ya msimu wa kwanza wa Greenwood aliondolewa Timu ya Taifa, na tetesi zilikuwa ni wanawake, hata Man U hakuwa akipangwa na Ole, hivyo kuna kitu wao walikuwa wanajua ila hawakutuambia.
Ukisikiliza hio audio utaona kabisa Greenwood anaongea as if ni kitu anafanya kila siku.
Kupiga mwanamke mpaka kufika hizo levels hata ukiwa mtu wa kawaida lazima sheria zikunyooshe vibaya mno, hata iwe huku Afrika.kiukweli simtetei Greenwood, ila haya mambo yasikieni tu, pengine mwanamke anafanya maksudi kabisa akiwa na malengo yake, mpaka anaamua kurekodi kila kitu hili apate ushahidi, huwezi jua, ukisha kuwa maarufu inakubidi uishi kwa umakini sana, hasa suala la wanawake, uzuri ni kwamba wenzetu wanafuata misingi ya sheria, tusubiri kila kitu kitakuwa wazi.
Ilikuwepo insta ila wameshakula account nzima kuna backup zilifanywa ngoja niicheki.Mkuu audio inapatikana wapi?
Hata hawa Worldsports14 wameiweka kwenye gram yaoIlikuwepo insta ila wameshakula account nzima kuna backup zilifanywa ngoja niicheki.
Edit full audio na picha
View attachment 2101225
Rejea na ile kauli ya Ronaldo, wachezaji wa siku hizi ni viburi na jeuri, hawaelezeki.. sasa uki - relate why alisema pengine hii ni picha iliyokuwepo. Greenwood amelalamikiwa sana suala la nidhamu kile kitendo cha yeye na Foden kilikuwa cha hovyo sana atleast Foden alitulia na hii nadhani ni ukali wa Guardiola kumweka sawa, Ole alikuwa anakinga kifua tuUtovu wa nidhamu sio mara ya kwanza kwa Greenwood....aliwahi kuingiza wanawake kwenye kambi ya England akiwa na Phoden wa City....
Pia hata huyo dada anaemtuhumu now, ameambatanisha picha hadi za 2020 kumaanisha jamaa tabia hiyo kaanza muda mrefu na hiyo voice note probably ni yake......pesa nyingi sana inawezatumika kuweka sawa au akapotea kama kina Adam johnson [adam johnson alikuwa winga mzuri sana]
Akapambane sasa na yeye atuonyeshe it was a mistake kumweka benchiDonny van de Beek to Everton
Mkuu Greenwood pia hakucheza Man U baada ya hio incident. Ole alimpiga benchRejea na ile kauli ya Ronaldo, wachezaji wa siku hizi ni viburi na jeuri, hawaelezeki.. sasa uki - relate why alisema pengine hii ni picha iliyokuwepo. Greenwood amelalamikiwa sana suala la nidhamu kile kitendo cha yeye na Foden kilikuwa cha hovyo sana atleast Foden alitulia na hii nadhani ni ukali wa Guardiola kumweka sawa, Ole alikuwa anakinga kifua tu
Haka katoto mbona kana mbanga za kijinga..
Mtu una hela unalazimilisha sex kweli..hii itammaliza kabisa uwanjani if it's true.
Mkuu Joh ebu tia nyama hapo kwa mademu wa thailand, i mean wana nini zaidi ili siku ikitokea na sisi twende kutalii uko thailandJamani tuwekeeni hizo video footage za huyo mwanamke akipigwa au kubakwa moja kwa moja na sio picha au audio.
Tamaduni za kimagharibi huwa zina-encourage wanawake ku-play victim mentality ("me too"). Usiamini maneno ya mwanamke dhidi ya mwanaume mwenzio unless una uhakika.
Ukiwa na pesa sana nchi zilizoendelea kwa mtu mweusi kuwa makini sana na wanawake wa kizungu muda wowote ule anaweza kukuharibia. Na maneno yake yatasikilizwa zaidi.
Greenwood akichomoka hapa itabidi awe anaenda Thailand mara moja moja ku-enjoy pretty, young and feminine women. Not those crooked feminist huko kwao.
Pesa unazoMkuu Joh ebu tia nyama hapo kwa mademu wa thailand, i mean wana nini zaidi ili siku ikitokea na sisi twende kutalii uko thailand
Kale ka Foden kenu ndo walikuwa wanafundishana ujinga na huyu mwana mdogo.Greenwood to jail ...
Contract of 5 years
Deal done .
Here we go
audio youtube ipoIlikuwepo insta ila wameshakula account nzima kuna backup zilifanywa ngoja niicheki.
Edit full audio na picha
View attachment 2101225
Mkuu Joh ebu tia nyama hapo kwa mademu wa thailand, i mean wana nini zaidi ili siku ikitokea na sisi twende kutalii uko thailand
Lingard to Newcastle
Alipoanza kujichora chora tu nikajua kwisha habari yake.Inawezekana wakamsimamisha na wakamtoa katika picha zote za kibiashara [promotions etc],
Inawezekana pia, akikutwa na hatia wakavunja mkataba wake.
Aliambiwa sana afocus na soka toka suala lake na phoden kwenye kambi ya England....ila naona aliweka pembeni shauri zote.