Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aisee nimeiona hii, Shocking, dada amepost pia audio akibakwa.
 
Akikutwa na hatia atakuwa amejiharibia katika carrer yake. United ingempa mambo mengi sana katika maisha yake: money, fame, trophies..... Vyote hivyo kavipiga teke.
 
Aisee nimeiona hii, Shocking, dada amepost pia audio akibakwa.
kiukweli simtetei Greenwood, ila haya mambo yasikieni tu, pengine mwanamke anafanya maksudi kabisa akiwa na malengo yake, mpaka anaamua kurekodi kila kitu hili apate ushahidi, huwezi jua, ukisha kuwa maarufu inakubidi uishi kwa umakini sana, hasa suala la wanawake, uzuri ni kwamba wenzetu wanafuata misingi ya sheria, tusubiri kila kitu kitakuwa wazi.
 
Utovu wa nidhamu sio mara ya kwanza kwa Greenwood....aliwahi kuingiza wanawake kwenye kambi ya England akiwa na Phoden wa City....

Pia hata huyo dada anaemtuhumu now, ameambatanisha picha hadi za 2020 kumaanisha jamaa tabia hiyo kaanza muda mrefu na hiyo voice note probably ni yake......pesa nyingi sana inawezatumika kuweka sawa au akapotea kama kina Adam johnson [adam johnson alikuwa winga mzuri sana]
 
Inavyoonyesha ni tabia ya Greenwood kumpiga ndiyo akategewa siku akarekodiwa maana kuna mpaka picha za toka 2020. Pia ukisikiliza sauti zao ni dhahiri Greenwood alikuwa kashatoa silaha ya maangamizi maana demu anasikika akisema "usiweke silaha yako karibu na mimi" sasa kama huwa anampiga mpaka anamtoa damu inawezekana kitendo cha mwisho ilikuwa ni ubakaji.

Ila bado ni mapema ku-judge, acha tutazame picha mpaka mwisho.
 
Ofcourse mkuu sheria itafuata mkondo, ipo small chance anasingiziwa ila kuna zaidi ya asilimia 90 ni yeye, kama mkuu Tanayzer alivyosema baada ya msimu wa kwanza wa Greenwood aliondolewa Timu ya Taifa, na tetesi zilikuwa ni wanawake, hata Man U hakuwa akipangwa na Ole, hivyo kuna kitu wao walikuwa wanajua ila hawakutuambia.

Ukisikiliza hio audio utaona kabisa Greenwood anaongea as if ni kitu anafanya kila siku.
 
Phoden ndio Nan wewe ,andika majina ya watu vzuri ...
 
inakuaje wachezaji mastar wanakosa mademu mpaka wanabaka
au ni mke halali anakubania mbususu ukimpa kipigo anapanda juu kushtaki ....


Kama ni tofauti na hivo ,mason atakuwa Domo zege Sasa, unaanzaaje kubaka ,
 
Jamani tuwekeeni hizo video footage za huyo mwanamke akipigwa au kubakwa moja kwa moja na sio picha au audio.

Tamaduni za kimagharibi huwa zina-encourage wanawake ku-play victim mentality ("me too"). Usiamini maneno ya mwanamke dhidi ya mwanaume mwenzio unless una uhakika.

Ukiwa na pesa sana nchi zilizoendelea kwa mtu mweusi kuwa makini sana na wanawake wa kizungu muda wowote ule anaweza kukuharibia. Na maneno yake yatasikilizwa zaidi.

Greenwood akichomoka hapa itabidi awe anaenda Thailand mara moja moja ku-enjoy pretty, young and feminine women. Not those crooked feminist huko kwao.
 
Dogo anapenda papuchi kupindukia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…