Ole uwezo wake ndio ulikuwa umeishia pale, yaani kiwango chake kilifikia mwisho pale hakuna kitu tungepata hata angepewa miaka 5 zaidi ya The boys did their bestNa bado kuna watu wanampongeza Ole kwa rebuild yake ndani ya miaka 3 pale Carrington
Huyu dogo bhana, utasema akiingia uwanjani kuna la maana anafanyaanthony martial amekanusha taarifa zilizotolewa na ralf ya kwamba hataki kuitumikia. martial anasema amekuwa muaminifu kwa takriban miaka 7..... vita imeanza
kama afanyavyo arteta?Baada ya kufukuza makocha wengi
Sasa hivi anzeni kufukuza wachezaji
Na hiyo ikifeli inabidi mjifukuze mashabiki wenyewe
Watoto wameshaanza kujipambanuaanthony martial amekanusha taarifa zilizotolewa na ralf ya kwamba hataki kuitumikia. martial anasema amekuwa muaminifu kwa takriban miaka 7..... vita imeanza
alichokosea ralf ni kuendelea kumtegemea cavani kwa mechi ya jana, nafikiri diamond formation lilikuwa ndio suluhisho kwa dakika 20 za mwisho kama alivyofanya mechi ya juzi alipomuingiza donny. ralf anasema tatizo linalomuumiza zaidi ni kushindwa kumiliki mpira tunapokuwa kwenye transition, kiwango chetu cha kumiliki mpira hakiridhishi.Zamani kidogo ilikuwa mtaa wa sita FC lakini hata hiyo siku hizi imekuwa shida kuipata.
Ndio ninachokisema, wamuuze tu hana tena morale ya kucheza na akili yake inawaza kusepa, hizi nyingine mboyoyo tu anajitetea, RR maybe kaangalia wachezaji wanaotaka kucheza, mtu kashaomba kuondoka bado upambane kumweka 1st 11 wa nini?Martial ni mmoja wa wachezaji wanaolipwa mshahara mkubwa hapo kwenu na hatuoni anachoifanyia timu, weka benchi hadi aondoke mwenyewe
Halafu anakuja kujitetea instagram, hawa watoto walidekezwa sanaameshaitumikia klabu kwa miaka 7 ila hajawahi kuwa na consistency. analipwa paundi laki mbili na elfu hamsini isiyolingana na uwezo wake
Kuna ile footage ilisambaa ya mazoezini Pogba na Mourinho wanataka kupigana hiyo ndio tabia iliyopo huko, Mou alikaza na ndio maana alifanikiwa, hakucheka na players japo board ikamtimua baadae, taratibu watajitoa mmoja mmoja mapangoni, RR akaze hapo hapo, msimu tushaharibu huu, tukubali tu ila tuanze na matatizo mapema kama tunataka mabadiliko baadae au msimu ujaoWatoto wameshaanza kujipambanua
Bado Rashford naye atajitokeza
Ugonjwa wa Manure ndio huo Ole aliwabembeleza sana
MOU alipotaka kuwabana watoto walishinda akatimuliwa
Ole kaja mbembelezaji kaendana nao akashindwa
Huyu kocha anachotakiwa ni kuwauza au kuwaweka benchi mpaka akili zao zikomae
lakini huyu ni kocha wa muda hivyo sidhani kama ana muda wa kufanya hayo yote kwa dirisha dogo. changamoto nyengine ni kuwa na wachezaji wenye mishahara mikubwa jambo linaloleta ugumu kuwauza wachezaji.Watoto wameshaanza kujipambanua
Bado Rashford naye atajitokeza
Ugonjwa wa Manure ndio huo Ole aliwabembeleza sana
MOU alipotaka kuwabana watoto walishinda akatimuliwa
Ole kaja mbembelezaji kaendana nao akashindwa
Huyu kocha anachotakiwa ni kuwauza au kuwaweka benchi mpaka akili zao zikomae
na ndio tuliowajaza. muda huu chini ya ole tungelikuwa tunamgombania trippier na declan rice. chini ya ralf tunamlenga tchouameni, neves na zakaria kwa dau lisilovuka paundi million 90 kama utawataka wote. kumbuka hiyo hela tulilipa kwa maguire pekee
Bodi inataka kumtoa mkopo na timu itakayomchukua ilipe mshahara wote na gharama za mkopo. Hakuna timu itakayofanya hivyo, PSG?? ila imesheheni fowards wengi. In this planet, no other teams will accept Man U Loan conditions for Antony Martiallakini huyu ni kocha wa muda hivyo sidhani kama ana muda wa kufanya hayo yote kwa dirisha dogo. changamoto nyengine ni kuwa na wachezaji wenye mishahara mikubwa jambo linaloleta ugumu kuwauza wachezaji.
Namuona hata Jamie Callagher anavyochambua na kuguswa na matatizo yetu united kuliko legends wetu wengi,kuna wakati huwa naona kama rivalry yetu ni ya kimauzo zaidi kuliko uhalisia.Watoto wameshaanza kujipambanua
Bado Rashford naye atajitokeza
Ugonjwa wa Manure ndio huo Ole aliwabembeleza sana
MOU alipotaka kuwabana watoto walishinda akatimuliwa
Ole kaja mbembelezaji kaendana nao akashindwa
Huyu kocha anachotakiwa ni kuwauza au kuwaweka benchi mpaka akili zao zikomae
Wachezaji wa United bado mentality zipo kama wapo chini ya Ole.Fans wa United wanahisi Pochettino ni dawa yao katika kurudisha makali kumuacha Ralf na kua na Poch ni umefuta Bakari na kuandika Beka. Poch atakua kama Mou nenda rudi yake ndani ya EPL at the time mnazidi kushuka.
Kuna mkuu hapo (daemushin) anasema recruitment ya wachezaji ilikua hafifu lakini kikosi cha united pound for pound ni level moja na City, Chelsea na Liva its the reason hata mkisuluhu inakua ni habari. Notice kwamba msimu unaanza mlijitambulisha kama title contender na hata squad ilisapoti huu utambulisho.
Kikosi on paper ni kizuri. Kwanini hakideliver? Shida ni kocha anashindwa exploit the best outta the squad. Bruno anafika Wolves ipo hoi within few games kashajua strength ya timu na Wolves inaenda vizuri, Conte kafika Spurs kajitahidi kuitransform kiuchezaji ni vile spurs finds a way to be spurs.
Now una Ralf a coach ambaye kwenye rekodi za trophy siyo mzuri ila ana theories nyingi juu ya formation and what not, hapo umetoka kwa Ole mwenye rekodi ya kushusha timu daraja. Mkuu fuentte anaamini Ralf akiwa kocha mwenye maamuzi 100% itasaidia. Mou amechukua Europa na hichi kikosi huku hana maamuzi 100% so utatoka kwa Ralf unaenda kumuamini Pochettino?
Nafikiri ni vile mtu ukiwa unazama unashikilia chochote.
Perreira, Lingard, Jones, Mata, Matic, Bissaka bado wapo United.Man u ni wazito sana kwenye maamuzi chief, mchezaji kama Perreira mpaka leo yupo tu
Tatizo unawaweka benchi almost wote mpaka unakosa kikosi.Watoto wameshaanza kujipambanua
Bado Rashford naye atajitokeza
Ugonjwa wa Manure ndio huo Ole aliwabembeleza sana
MOU alipotaka kuwabana watoto walishinda akatimuliwa
Ole kaja mbembelezaji kaendana nao akashindwa
Huyu kocha anachotakiwa ni kuwauza au kuwaweka benchi mpaka akili zao zikomae
Bodi ya Man Utd ndo mzizi mkuu kwenye matatizo tunayopitia.Ndio ninachokisema, wamuuze tu hana tena morale ya kucheza na akili yake inawaza kusepa, hizi nyingine mboyoyo tu anajitetea, RR maybe kaangalia wachezaji wanaotaka kucheza, mtu kashaomba kuondoka bado upambane kumweka 1st 11 wa nini?
Fatilia situation ya Halland na Dortmund kama alivyoreport Fabrizio jana, Dortmund wanataka Halland adecided future yake sasa hivi ili waanze msako mapema wa replacement, Man U Martial kasema anataka changamoto mpya ila board ipo tu sidhani kama hata kuna mipango ya kuangalia eneo hilo, nilisikia wanataka kumtoa Amad kwa mkopo, Sancho mwenyewe unga unga mwana jana kajaribishwa Elanga ngoja tuone
Dirisha lijalo inatakiwa kuwaweka sokoni wachezaji kama 10 hivi.Kuna ile footage ilisambaa ya mazoezini Pogba na Mourinho wanataka kupigana hiyo ndio tabia iliyopo huko, Mou alikaza na ndio maana alifanikiwa, hakucheka na players japo board ikamtimua baadae, taratibu watajitoa mmoja mmoja mapangoni, RR akaze hapo hapo, msimu tushaharibu huu, tukubali tu ila tuanze na matatizo mapema kama tunataka mabadiliko baadae au msimu ujao