ukimuongezea wan bissaka tuliyemsajili kwa paundi million 50. kituko zaidi usajili wa wan bissaka unaambiwa takriban wachezaji 800 walifanyiwa utafiti halafu yeye akaibuka kinara, inaumiza na kustaajabisha. now tunavumishiwa kumhitaji tariq lamptey kwa paundi milion 30