Waingereza wa Manchester United huwaambii kitu kuhusu wachezajii wao! Ni wabovu ila kutwa kuwavimbisha mibichwa.wachejazi wanakata upepo mapema sana, ningekuwa kocha, nafasi ya greenwood angekuwa anacheza elanga kuanzia mechi zijazo, yani dogo ana ubinafsi unaowafanya wenzake watoke mchezoni pale mbele, hebu fikiria dogo hakabi then nafasi chache zinazopatikana anashindwa kutoa pasi, anapiga kishuti mtoto, inatia hasira sana kucheza na mchezaji wa aina yake, huo ujinga anatakiwa kuufanya timu inaongoza hata goli nne bila sio kipindi timu inapambana kuteka mechi, this kid needs a harsh treatment mpaka akili imsogee
Kuangalia mechi za Man Utd siku hizi inahitaji uwe na moyo mgumuJinsi Elanga alivyocheza ndiyo senior players wanapaswa kucheza, Rashford ni mvivu wa kutupwa. kuna watu humu wanamlaumu kocha kila kukicha hivi mmeona alichofanya Rashford? Kipa anatema mpira badala ya ku-press kumpa challenge kocha afanye errors fala linatembea mdogomdogo likiwa na uhakika wa namba United na £200k per week.
Safari bado ni ndefu sana, quality iliyopo United siyo timu inapaswa ku-struggle kila mechi, ingekuwa inatokea tunacheza vibaya mechi moja unaweza kupotezea tu ila week in week out tunacheza kukamilisha ratiba tu.
Tatizo ni wachezaji, timu imekuwa kama Ac Milani inachukua wachezaji wazeeKuangalia mechi za Man Utd siku hizi inahitaji uwe na moyo mgumu
Timu zinakuja Old Trafford halafu zina dominate game na kutukimbiza mwanzo mwisho
Sijui ni mfumo wa kocha hauleweki, au kocha mwenyewe hafai au wachezaji hawakidhi vigezo vya kucheza Utd
Tatizo ni kocha, System yake ya uchezaji.Wachezaji ni wale wale walio kochiwa na Carrick kabla ya kocha huyo Kutua.Mbona wakati wa Carrick walikuwa hawapotezi mipira?Kuangalia mechi za Man Utd siku hizi inahitaji uwe na moyo mgumu
Timu zinakuja Old Trafford halafu zina dominate game na kutukimbiza mwanzo mwisho
Sijui ni mfumo wa kocha hauleweki, au kocha mwenyewe hafai au wachezaji hawakidhi vigezo vya kucheza Utd
nitajie hiyo mechi tafadhali nikaiangalie tena. Tusipende kujificha kwenye 4-2-2-2 isiotumika kwa kumuangushia lawama mwalimu.Tatizo ni kocha, System yake ya uchezaji.Wachezaji ni wale wale walio kochiwa na Carrick kabla ya kocha huyo Kutua.Mbona wakati wa Carrick walikuwa hawapotezi mipira?
Mwalimu Hana mbinu.Ana technique Moja tuu ambayo wanafunzi wameshindwa kuielewa yeye ana force tuu,Kocha asiforce aangalie na aina ya wachezaji alio nao.Kwanini Rb Leipzig walifit mfumo wake vizuri na Man UTD wanaonekana kuto kufit??? Kaangalie mechi za Leipzig wakati RR ni kocha,mipira ilikuwa haipotei potei ovyo,mpira safi unao vutia,mwendo wa kupress tuu.nitajie hiyo mechi tafadhali nikaiangalie tena. Tusipende kujificha kwenye 4-2-2-2 isiotumika kwa kumuangushia lawama mwalimu.
Carrick hatetewi.Sema imetolewa mfano.Mbona Kwa mechi zake kadhaa na ya Sasa iliyopo Kulikuwa na tofauti??? Wewe hujiulizii??Huyo carrick aliyedumu miaka mitatu klabuni akiwa na mamlaka makubwa ndio ametuacha hivyo, jeuri ya kumtetea munaitolea wapi wakati yeye ndio muogozaji mazoezi.
unataka abadilike vipi tena haliyakuwa kuna mechi tumecheza 4222, jana tumecheza 4231, mechi ya wolves tulicheza 442 na kipindi cha pili tukacheza na beki watatu, jukumu lililotekelezwa na matic.Mwalimu Hana mbinu.Ana technique Moja tuu ambayo wanafunzi wameshindwa kuielewa yeye ana force tuu,Kocha asiforce aangalie na aina ya wachezaji alio nao.Kwanini Rb Leipzig walifit mfumo wake vizuri na Man UTD wanaonekana kuto kufit??? Kaangalie mechi za Leipzig wakati RR ni kocha,mipira ilikuwa haipotei potei ovyo,mpira safi unao vutia,mwendo wa kupress tuu.
Mechi za Carrick zilikuwa dhidi ya Villarreal Arsenal.
ndio nikakuomba unitajie mechi tuliocheza vizuri, tulicheza na villareal, chelsea na arsenal. Nazungumzia performance na si matokeo. Ashukuriwe david de gea kwenye hizo mechiCarrick hatetewi.Sema imetolewa mfano.Mbona Kwa mechi zake kadhaa na ya Sasa iliyopo Kulikuwa na tofauti??? Wewe hujiulizii??
Timu ilicheza vizuri na Villarreal kipindi Cha pili na Ilicheza vizuri dhidi ya Arsenal kipindi Cha pili,ndio nikakuomba unitajie mechi tuliocheza vizuri, tulicheza na villareal, chelsea na arsenal. Nazungumzia performance na si matokeo. Ashukuriwe david de gea kwenye hizo mechi
Mfumo Sio inshu kama hauna technique. Mifumo mingi bila technique ni kujaribu bahati.unataka abadilike vipi tena haliyakuwa kuna mechi tumecheza 4222, jana tumecheza 4231, mechi ya wolves tulicheza 442 na kipindi cha pili tukacheza na beki watatu, jukumu lililotekelezwa na matic.
baada ya kuwafunga goli la pili, mechi ya arsenal ilikuwa wazi kwa kila upande, kilichowagharimu ni kujilinda kwao baada ya kupata goli, mechi yetu bora msimu huu ni dhidi ya leeds na dakika 30 za crystal palaceTimu ilicheza vizuri na Villarreal kipindi Cha pili na Ilicheza vizuri dhidi ya Arsenal kipindi Cha pili,
jaribu kudadavua kwa kutumia kesi ya man utdMfumo Sio inshu kama hauna technique. Mifumo mingi bila technique ni kujaribu bahati.