Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,916
- 2,638
Kocha Hana ujanja,UWEZO wake umeishia hapoo.Uwezo alio nao ni kuongea TU mambo mazuri ambayo kiuhalusia hayaonekani.Timu lina waingereza 6 kwenye 1st eleven unategemea nini!?
Mwendazake sajili zake ni waingereza tu pumbavu yule
Halaf anatokea mtu anamlaumu kocha aliekaa na timu mwezi mmoja wakat kuna kenge aliharibu timu kwa miaka mi3
Mkumbuke hata klop alipoichukua Livakuku ya akina Lalana haikua inacheza hv tunavyoona leo
Kocha yoyote anapoingia kwenye timu anahitaji muda kusajili wachezaj wataoendana na mfumo wake, ndo maana tunamlaumu Ole kwasabab alipewa vyote muda na fedha lakin ndo kwanza timu imerudi nyuma badala ya kuimprove.
Izii Kelele za kutokusajiri wachezaji wa mfumo wake mbona hatuyasikii Kwa Conte Au Gerald?? Kina Ancelloti.Kocha wa dortmond wa Sasa??? Hata kocha wa Bayern wa Sasa Julian asilimia kubwa kakuta kikosi kike kile,mbona Anafanya makubwaa??
Tuseme tuu uwezo wa RR ni mdogo,ndo umeishia hapoo hayo mengine ni kutafuta excuse tuu
Na kama aliona wachezaji WALIOpo kwenye timu hawaendani na mfumo wake,Angeacha kuchukua timu na kusubiria mpaka msimu uishe na kusajiri wachezaji anao wataka.