Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila Man u shida ni nini?
Unajua mna timu ya bei kubwa(kwa kununua na thaman zaid ya wengi pale epl)??
Degea
Miguire mlinunua bei
Beki za pemben zote mbili mlinunua bei
Varane
Pogba
Sancho
Bado rashford mkiweka sokon ni bei kubwa


Iv timu ina hawa kule mbele
Ronaldo
Sancho
Rahsford
Cavan
Pogba
Fernandez

Iv hii timu inafungwafungwaje ovyo iv? Yaan hata sisi Arsenal tunawashangaa maana tuna kikosi cha kawaida kabisa
 
Wazee wa Ku press ..huyu kocha wetu mpya ambaye alipata sifa kila kona ya dunia ..imekuwaje tena ? Ile fomesheni yake ni ya mpira wa rede siyo miguu..
 
carabao hawapo ,astonvilla atawavuta shati,man u asipookota point kwa hawa wadogo,ajiandae ana ratiba hapo mbele imeongozana big games plus ucl,
 
Yaan hii timu inapigwa Tu daily kwenye dili z wachezaji imagine bissaka ndo huyo hata kupiga cross anazidiwa na djuma shabani WA yanga....Maguire ndo usiseme
sanchoka ndo kabisaaa
 
Rangnick maneno mengi!!!..

Sasa leo alimuingiza Rashford kufanya nini kama sio uwendawazimu.

Hata hii consultancy atapuyanga tu if so..

Timu inashida nyingi saa hii..
tulien wapinzan tunaona gegen press na tunaliinjoy birian si ni nyie mlimkataa sosha kocha mteule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…