Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United interim boss Ralf Rangnick has been asking his side to control matches.

They are miles off that here. With the extra man in midfield, it is the visitors who are dominating.

United are giving the ball away cheaply far too often

Source :BBC
 
Inconsistence ya scott is unbelievable aise,sijui kwann akiwa na mpira anatetemeka
 
Jesus Christ..

Ralf Rangnick anafanya nini kwenye training??..

Hawa wachezaji wana akili ya mpira na control kweli??
nadhani falsafa yake inajivuruga yenyewe, how can you control the game with everyone attempting to give through passes of which we clearly know we have few players capable of doing so? the likes of bruno and greenwood, wengine wanatetemeka kwanza kabla ya kupiga pasi macho
 
Mkuu unajua mpira aisee. The same has been said na kina Buffon, Chiellini na Bonucci kuhusu Ronaldo wakati yupo Juventus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…