The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Chuki binafsi tu mkuu wala hana sababu za msingi.Yani upige bench Ronaldo kwa wachezaji gani waliopo United wa kucheza hiyo namba kumzidi Ronaldo?
Mkuu tuwaachie policeHarafu nyie wahuni wa united mwaka wa kumi Sasa hamna PL ,Jana mkaenda nyumbani kwa cancelo kuiba medal zake za PL ,acheni uhuni
Mbona nyie wahuni wa Man. Shitty mlimvamia Reece James kuiba medali za UEFA na tulikaa kimya.Harafu nyie wahuni wa united mwaka wa kumi Sasa hamna PL ,Jana mkaenda nyumbani kwa cancelo kuiba medal zake za PL ,acheni uhuni
Aisee what a kind of appreciation from all over the world he received. It's impressive.
Chuki binafsi tu mkuu wala hana sababu za msingi.
Wamezoeshwa hivyo mkuu kwa miaka 3. Hivyo hawajui wafanye nini hata wakiwa na mpira....recall pale tulipokuwa tunalalamika kuwa Man u ya ole haiwezi piga hata pasi 10 kwa mkupuo zikafika zote.....Nacheki Arsenal wanavyocheza hapa..nabaki na conclusion kuwa wachezaji wetu wengi hawana control wala compusure.
Jamaa anashangaza sana.Ety kaleta tabia ya kujiangusha angusha uwanja,hivi hii ni sababu kweli?..?.
Alete stats za wasiojiangusha tuone
Piga benchi Ronaldo panga Cavani. Ronaldo anacreate unwarranted demands kwa timu nzima kumtafuta yeye afunge kwa malengo yake binafsi ya kuvunja records, na ndio namba tisa pekee ulaya kwa sasa anaye aim kupiga mpira alafu anaukosa.Yani upige bench Ronaldo kwa wachezaji gani waliopo United wa kucheza hiyo namba kumzidi Ronaldo?
Duuhh umeshafika huku mkuu, unajua wewe ni miongoni mwa wanaoaminika humu so punguza msg za emotions mkuu.Piga benchi Ronaldo panga Cavani. Ronaldo anacreate unwarranted demands kwa timu nzima kumtafuta yeye afunge kwa malengo yake binafsi ya kuvunja records, na ndio namba tisa pekee ulaya kwa sasa anaye aim kupiga mpira alafu anaukosa.
I am not being emotional, I am just offering Ronaldo a fair assessment, He is doing more harm to the team than good. Ni mchezaji anayelalamikia wenzake dakika 70/90 za mchezo wakati sincerely yeye ndiye aliyepeswa kulalamikiwa.Duuhh umeshafika huku mkuu, unajua wewe ni miongoni mwa wanaoaminika humu so punguza msg za emotions mkuu.
Hapo chini ungefaa umalizieI am not being emotional, I am just offering Ronaldo a fair assessment, He is doing more harm to the team than good. Ni mchezaji anayelalamikia wenzake dakika 70/90 za mchezo wakati sincerely yeye ndiye aliyepeswa kulalamikiwa.
Ronaldo ni sababu kubwa ya kiwango cha mpira cha timu kushindwa kuimprove consistently hata baada ya ujio wa RR sababu wakiingia tu uwanjani anataka kuattract attention ya timu nzima, anawasababishia wachezaji kigugumizi wakiwa na mpira, wapige kwa mchezaji aliyejiposition au wapige kwa Ronaldo, matokeo yake hata yeye mwenyewe hapatiwi quality passes.
wewe unaangalia magoli anayofunga mimi naangalia contribution yake to the timu, naangalia anachofikiria na namna anavyo affect an entire timu.
I wish one of these days aanzie benchi.
Look at this Fernandez, one of the greatest, I look at his beatful babes and this his beautiful wife and I just feel sorry for them.
Acha roho ya kichawi mkuu, 🤝Piga benchi Ronaldo panga Cavani. Ronaldo anacreate unwarranted demands kwa timu nzima kumtafuta yeye afunge kwa malengo yake binafsi ya kuvunja records, na ndio namba tisa pekee ulaya kwa sasa anaye aim kupiga mpira alafu anaukosa.