just trueMaguire silipendi, sasa hapo alishindwaje kutackle?
Yaani cleansheet mtihani, hivyo ndivyo vinafanya GD iwe ndogo.
Alafu kuna yoyote aliyeona Maguire anafanya Sliding tackles, au Sliding block, maana naona Tackle zake nyingi ni Standing.
Ndicho kinatugharimu, unakuta mpira unampita hajui.
Linavyojifanya linaelekeza wenzake pa kupiga pass linajiona limeyapatia maisha.
Haiwezekani Club ikubali tulikula hasara. Na kumvua ukaptain na kumuweka benchi.
Leo McTomminay tunaye muexpect karudi.
Ila huyu Greenwood naona nyota inafifia Uchoyo na attitude ni mbaya sana.
Maguire ni Ninja(Yanga) mweupe, ni mpumbavu sana.Maguire silipendi, sasa hapo alishindwaje kutackle?
Yaani cleansheet mtihani, hivyo ndivyo vinafanya GD iwe ndogo.
Alafu kuna yoyote aliyeona Maguire anafanya Sliding tackles, au Sliding block, maana naona Tackle zake nyingi ni Standing.
Ndicho kinatugharimu, unakuta mpira unampita hajui.
Linavyojifanya linaelekeza wenzake pa kupiga pass linajiona limeyapatia maisha.
Haiwezekani Club ikubali tulikula hasara. Na kumvua ukaptain na kumuweka benchi.
Leo McTomminay tunaye muexpect karudi.
Ila huyu Greenwood naona nyota inafifia Uchoyo na attitude ni mbaya sana.
Kipindi hiki kipi cha RR? Unajua ana match ngapi mpaka hii ya leo then unamlaumu unamsifu Ole wa the boys doing good n.k Hatukatai Ole amefanya kazi nzuri si mbaya ila hakuwa na uwezo wowote wa kuzidi alipokuwa amefikia na team.Kwanini kipindi Cha Sosha Scott na Rashiford walionekana wachezaji wazuri tofauti na kipindi hiki Cha RR, wewe haujiulizi?au kazi kumtetea Mzee wa maneno mengi mazuri RR kuliko Mourinho lakini kazi haionekani uwanjani?
Ni vyema tusubiri na signings zake kumbuka hapa anatumia wachezajo aliowakuta, ataletewa maana man u pesa ipo, tutamjudge angalau mwisho wa msimuHakunipa Mimi matumaini,Bali bodi ya timu na mashabiki pia Na ndo maana akawa anaongezewa muda mpaka kufika miaka mitatu Kwa matumaini ya kuwa Kuna siku atafanya vizurii na Yote ni kutokana na matokeo aliyo kuwa akiyapata nyuma,Kwa kufika nusu fainal euroapa Ligi,fa cup,na Kombe la Ligi,kufika fainal licha ya kupoteza mbele ya Villarreal,kumaliza nafasi ya tatu,msimu uliopita nafasi ya pili.
Lakini huyu Mzee asipobadilika na KUENDELEA na gengen dressing Kwa wachezaji wa united ataishia nafasi ya 8 au ya 9 na mashindano mengine hatofika mbali.
Kumfunga Burnley ndo upate energy ya ku comment! Subiri ukutane na timu zenye forwards MAKINI.Afuu uone Kama utarudi hapaa.Kipindi hiki kipi cha RR? Unajua ana match ngapi mpaka hii ya leo then unamlaumu unamsifu Ole wa the boys doing good n.k Hatukatai Ole amefanya kazi nzuri si mbaya ila hakuwa na uwezo wowote wa kuzidi alipokuwa amefikia na team.
Yaani huyu Magu mi nnchomuombea awe majeruhi akae nje ya uwanja kwa kipindi kirefu.Kwakweli uwezo wa Maguire unafikirisha sn.
Angesubiri msimu ukaisha Ili kuepusha kisingizio ndo akachukua timu,Mbona kina Zidane waligoma.Mbali na Ivo,mbona Spurs inafanya vizuri licha ya kocha mpya na wachezaji ni wale wale? Aston villa,licha ya kukutana na vigogo lakini imeonesha Kuna kitu tofauti na mwanzo. Kwanini RR??Ni vyema tusubiri na signings zake kumbuka hapa anatumia wachezajo aliowakuta, ataletewa maana man u pesa ipo, tutamjudge angalau mwisho wa msimu
Tena saana, nawaza Kwa mabeki na aina ya Ukabaji wa kina magwaya wakikutana hata na Brighton Au the foxes,bees.Tutaongea mengine maybe babati iwabebe lakini si Kwa deserve.Hii timu bado sana
Amesingizia lini na wapi unaweza kuonyesha aliposingizia?Angesubiri msimu ukaisha Ili kuepusha kisingizio ndo akachukua timu,Mbona kina Zidane waligoma.Mbali na Ivo,mbona Spurs inafanya vizuri licha ya kocha mpya na wachezaji ni wale wale? Aston villa,licha ya kukutana na vigogo lakini imeonesha Kuna kitu tofauti na mwanzo. Kwanini RR??