Kama sikosei tunahitaji wachezaji kama 5 hadi 8 wa kufit haya mabadiliko sawa na $400m tena au tunahitaji academy yetu ianze kutulipa fadhila sasa.hiyo ni process ya miaka 2.5, sidhani kama inashindikana
hatua ya muhimu ni kuondoa kwanza wachezaji kwa sababu tunao wengi, tukishapunguza wage bill ndipo tunapaswa kuangalia maingizo mengineyo.Kama sikosei tunahitaji wachezaji kama 5 hadi 8 wa kufit haya mabadiliko sawa na $400m tena au tunahitaji academy yetu ianze kutulipa fadhila sasa.
Ni muda sasa wa kuwapa nafasi wachezaji wa academy yetu labda wanaweza kufanya mabadiliko ya kiuchezaji kidogo kuliko kukomaa na hawa wahuni miaka neda rudi.kwa sasa mpira tunautafuta, ila tukiupata hatujui vya kuutumia ipasavyo ndio maana tunalose possession\
The concept of keeping the ball is alien to this #mufc team. They win possession back then quickly concede it cheaply attempting passes that aren’t on or they shouldn’t be attempting. Big difference between risk taking & routinely making the wrong decision. Woeful half from them
4-2-2-2 ama?formation yetu imegeuzwa memes
ndio, au hujakutana na picha za kijinga mitandaoni4-2-2-2 ama?
Sijabahatika kuziona hizo kitu mkuu.ndio, au hujakutana na picha za kijinga mitandaoni
Formation inafanya players waonekane avarage.Kocha atalaumiwa bure, average players.
Sosha alikuwa anatia matumaini,Lakini huyu wa Sasa hata matumaini hayapo kabisa licha ya mwezi hajamaliza.Sosha kapewa miaka 3, RR hata mwezi mmoja sidhani utakuwa na siku kadhaa tu.. mnamuonea bure
ndio, au hujakutana na picha za kijinga mitandaoni
Wazee muacheni RR wa watu, team ni bovu halafu angalia mazingira aliyokuta hapo kumbuka carrington imefungwa na team haijacheza siku ngapi.. kila team ina matatizo yake na udhaifu wake ukienda kwa mashabiki wa Spurs uliowasemea unajua ni kias gani wana lalamika au unadhani huyo Conte angekuja ndio matatizo ya team yangeisha ndani ya mwezi mmoja?Hata Spurs alikuwa na AVG players alipokuja Conte sasa hivi sio avg player tena. 90% ya timu kufanya vizuri ni kocha, aproch ya kocha kuanzia kwenye mazoezi, dressing room, mawasiliano na timu na mchezaji mmoja mmoja na wawapo uwanjani with or wthout the ball ina matter sana
Kwa Ole formation ilifanya wasiwe average? Hivi mpo serious kumlaumu huyu mzee wa watu na udwanzi wa Rashford na Mctominay?Formation inafanya players waonekane avarage.
Matumaini gani alikupa Sosha kakaSosha alikuwa anatia matumaini,Lakini huyu wa Sasa hata matumaini hayapo kabisa licha ya mwezi hajamaliza.
Bodi itakubali Rashford kuondolewa na Ralf Rangnick??nakuhakikishia chini ya ralf hao wahuni watachagua njia sahihi, atawafyekelea mbali pindi wasipobadilika.
ralf apewe kandarasi ya miaka 2