.......kha?!!!
Nawewe....#DontGiveUpEasily buddy,
You are Man United! Acha kukata tamaa hata Mwaka Mpya bado...
Usituletee Bets za ajabu ajabu hapa,
Mwishowe uwe kama huyo shabiki aliyejiua Nairobi.
View attachment 125578
.....#CryingBabies ....[smh!]
Nilikwishawaambia....Moyes hafai......wadau wakasema......apatiwe muda.......wachezaji ni wale wale wa SAF......
hiyo staili yake mpya aliyoivumbua kule Everton ilishaonyesha kufeli.....kwani juzi tu Everton na chini ya Martinez wamemchapa bakora ManU......Moyes aache misimamo ya kijinga.........
Ni afadhali wangemchukua Babu Manager Harry Redknap mara kumi kuliko Moyes.....
Sijakata tamaa....
Hiyo siyo jadi ya #ManUnited
Ninachosema ni hii kasi ya goons kusema #ManUnited itashuka daraja, oh, mara haitomaliza top 4 na blah blah nyingine ka hizo....
Sasa ndiyo maana nimewaambia anayejiamini aje hapa na kuweka maneno na kumbukumbu hapa.....
Cc: Ulimakafu na goons wengine
Wakuu wapi naweza watch gemu mtandaoni??!!plz