Inachekesha sana, huyo Rashford mwenyewe angalau sasa hivi amepata roll modal wake na cku hz kdg habutui butui hovyo mipira, anampa baba yake na anamalizia vzr kabisa.
Hatukawii kumtupia zigo la lawama Ralf kama kawaida yetu wakati ni dhahiri kabisa kikosi ni kibovu.. itachukua time, kikubwa tuendelee kushinda na kutoruhusu magoli kama hivi, kikosi chetu ni cha kawaida sana hasa hapo kiungo na fullbacks