Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ss baki kule kule kwenye jukwaa lako tutakufuata mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo letu Man U huwa tunajifariji sana baada ya kushinda,lakini ukweli ni kwamba Timu yetu bado sana,tuna-furukufuruku tu,Man U ninayoifahamu mimi sio hii!!!lile tuta ukiliangalia vizuri hata halikuwa tuta sahihi basi tu,yaani tunagongwa goli 4 na Watford juzi leo tunajifariji tuna timu nzuri kweli baada ya kuifunga Arsenal kwa mbinde!!!let us be serious
 
Unateseka pasipo na sababu arse8, mechi imeisha hiyo.
 
Sawa tufarijiane leo,kesho tusianze kulialia tena humu,Ligi ilipoanza maneno ya matumaini yalikuwa meeeengi humu kwamba tunabeba Ndoo,khaaaa
 
Wewe kweli ni mbuzi, na inaonekana umeumia sana team lako kufungwa.

Unataka shabiki wa Man UTD afurahi team yake ikifanya nini kama unasema ikishinda kama hivi hatutakiwi kufurahi? Ikiwa moira tumecheza na magoli tumefunga na hautaki tufurahi, nini logic ya ushabiki sasa.

Unasema juzi tulipigwa 4 na Watford kwahiyo hatutakiwi kufurahi baada ya kuifunga Arsenal, unailinganishaje Watford na team kama Chelsea , Villarreal na Arsenal ambazo tumecheza nazo bila kupoteza mchezo baada ya Kupigwa 4 ? Bila mabadiliko hâta kigodo hayo yangewezekanaje?

Pole dogo.
 
Kwahiyo utasubiri hadi man u unayo ifahamu ndy ujifariji? Acha zako team ikishapata matokeo sisi kazi yetu kusumbua mtaa.
 
Mamluki huyo mpuuzeni.
 
Mamluki huyo mpuuzeni.
 
Anajifanya kuingia kwenye uzi kwa kujifanya Man Utd alafu anaponda, man u gani huyu anaponda mpk kushangilia


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…