Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
Mkurugenzi wa ufundi anabakiwa na majukumu gani sasa?Kwa kifupi majukumu yake yatakuwa sawa sawa na mkurugenzi wa ufundi. Nafikiri akina Ed pamoja na bodi hawakutaka kuleta taharuki kusema jamaa anaenda kuchukua nafasi ya mtu (John Murtough) moja kwa moja.
Makubaliano ya mkataba wa mara ya pili waliokubaliana hicho kipengele cha "consultancy role with power"
-Atakuwa sehemu ya bodi kama mshauri.
-Atahusika ktk mchakato wa kupata kocha wa kudumu pamoja na bodi majira ya kiangazi.
-Atahusika na mikataba ya wachezaji ikiwa pamoja na usajili wao.
-Atahusika na dira ya timu kwa 100%.
Hizo habari za Amadou ni za kutaka kuchafua hali ya hewa, japo kuna mtu kamshauri jamaa awe makini sababu mashambulizi na scrutiny atakayokabiliana nayo kwa kuwa kocha wa man utd hajawahi kutana nayo katika maisha yake.hii hoja ya kusajili wachezaji kwa kuangalia zaidi upande wa kibiashara kuliko uwanjani wengi wetu hatuna uthibitisho wa dai hilo(tumekuwa tukizungumza tu ili kusongesha siku), kwa mtazamo wangu changamoto kubwa zinazotukabili mara kwa mara lifikapo dirisha la usajili ni:-
mpaka bodi imefikia hatua ya kukubaliana na matakwa yake bila ya shaka hatutashuhudia upishanaji wa kauli kwenye suala zima la usimamiaji wa klabu ndani ya uwanja, kama kutatokezea sintofahamu kati yao namuona Rangnick akiondoka klabuni (jamaa ni mtu wa misimamo na kwa hilo waulize chelsea wali[omtaka msimu uliopita aliwajibu nini)
- kusajili mchezaji ambaye si hitaji kuu la mwalimu, tumeona wakati wa utawala wa mourinho alihitaji kwanza mlinzi wa kati lakini akaletewa kiungo (Fred) ambaye hawezi kutimiza majukumu yake ipasavyo bila ya kuwa na safu bora ya ulinzi.
- kushindwa kusajili target lengwa za makocha, kwa mfano hili litokezea wakati wa utawala wa van gaal na hata david moyes (kocha anataka mchezaji A lakini analetewa mchezaji wa kundi C)
- kurukia rukia wachezaji bila ya kuangalia direction yetu ya kiuchezaji, mfano rejea usajili wa juan mata na aina yake ya uchezaji jinsi isivyoendana na style ya kocha aliemsajili
- kudelay kufanya maamuzi (ukisikia stori za nyuma ya pazia jinsi tulivyowakosa baadhi ya wachezaji utashangaa)
- baadhi ya wachezaji tunauziwa ghali kwa sababu ya kukosa mipango bora ya kushawishi target nyenginezo.
Ralf rangnick hajawahi kufanya kazi katika timu yenye budget kubwa mfano wa manchester united, kwa mukhtadha huo haitokuwa rahisi kuweza kumuhukumu. Imani yangu atayafanikisha zaidi ya yale aliyoyafanya akiwa kwenye timu zenye bajeti ndogo kwa kusajili na kushauri aina ya wachezaji wanaoendana na hicho anachotaka kukijenga.
kwa mfano leo nimeona tetesi za kiungo anayeitwa amadou haidara kutoka leipzig, release clause yake ni paundi millioni 33 hivyo klabu imeamua kumfuatilia mwishoni mwa wiki hii.
sidhani kama aliwahi kusajili mchezaji mwenye gharama kubwa mfano wa hiyo, kama atafiti philosophy yake sidhani kama ni tatizo kwetu na kwake.
kwa ufupi rangnick amepewa nafasi adhimu ya kuuonyesha ulimwengu wa wapenda soka yeye ni mwanadamu wa aina gani, Je ni mtu special kama anavyosifiwa na wanafunzi wake na nchi nzima ya ujerumani au ni mbabaishaji anayejificha nyuma ya mafanikio ya wanafunzi wake?
muda huu changamoto hiyo inamkabili cristiano ronaldo kutoka kwa pundits.Hizo habari za Amadou ni za kutaka kuchafua hali ya hewa, japo kuna mtu kamshauri jamaa awe makini sababu mashambulizi na scrutiny atakayokabiliana nayo kwa kuwa kocha wa man utd hajawahi kutana nayo katika maisha yake.
Ndio maana yake namie namuunga mkono ralph maana miaka saba sijui dna imefeli kabisaaaaa.......Kwa lugha nyepesi ni kwamba manchester united wameamua kuanza upya hii project yao chini ya usimamizi na ushauri wa Don Rangnick.
Kwenye bajeti ya usajili huyu mjerumani mbona hana tofauti na babu fergiehii hoja ya kusajili wachezaji kwa kuangalia zaidi upande wa kibiashara kuliko uwanjani wengi wetu hatuna uthibitisho wa dai hilo(tumekuwa tukizungumza tu ili kusongesha siku), kwa mtazamo wangu changamoto kubwa zinazotukabili mara kwa mara lifikapo dirisha la usajili ni:-
mpaka bodi imefikia hatua ya kukubaliana na matakwa yake bila ya shaka hatutashuhudia upishanaji wa kauli kwenye suala zima la usimamiaji wa klabu ndani ya uwanja, kama kutatokezea sintofahamu kati yao namuona Rangnick akiondoka klabuni (jamaa ni mtu wa misimamo na kwa hilo waulize chelsea wali[omtaka msimu uliopita aliwajibu nini)
- kusajili mchezaji ambaye si hitaji kuu la mwalimu, tumeona wakati wa utawala wa mourinho alihitaji kwanza mlinzi wa kati lakini akaletewa kiungo (Fred) ambaye hawezi kutimiza majukumu yake ipasavyo bila ya kuwa na safu bora ya ulinzi.
- kushindwa kusajili target lengwa za makocha, kwa mfano hili litokezea wakati wa utawala wa van gaal na hata david moyes (kocha anataka mchezaji A lakini analetewa mchezaji wa kundi C)
- kurukia rukia wachezaji bila ya kuangalia direction yetu ya kiuchezaji, mfano rejea usajili wa juan mata na aina yake ya uchezaji jinsi isivyoendana na style ya kocha aliemsajili
- kudelay kufanya maamuzi (ukisikia stori za nyuma ya pazia jinsi tulivyowakosa baadhi ya wachezaji utashangaa)
- baadhi ya wachezaji tunauziwa ghali kwa sababu ya kukosa mipango bora ya kushawishi target nyenginezo.
Ralf rangnick hajawahi kufanya kazi katika timu yenye budget kubwa mfano wa manchester united, kwa mukhtadha huo haitokuwa rahisi kuweza kumuhukumu. Imani yangu atayafanikisha zaidi ya yale aliyoyafanya akiwa kwenye timu zenye bajeti ndogo kwa kusajili na kushauri aina ya wachezaji wanaoendana na hicho anachotaka kukijenga.
kwa mfano leo nimeona tetesi za kiungo anayeitwa amadou haidara kutoka leipzig, release clause yake ni paundi millioni 33 hivyo klabu imeamua kumfuatilia mwishoni mwa wiki hii.
sidhani kama aliwahi kusajili mchezaji mwenye gharama kubwa mfano wa hiyo, kama atafiti philosophy yake sidhani kama ni tatizo kwetu na kwake.
kwa ufupi rangnick amepewa nafasi adhimu ya kuuonyesha ulimwengu wa wapenda soka yeye ni mwanadamu wa aina gani, Je ni mtu special kama anavyosifiwa na wanafunzi wake na nchi nzima ya ujerumani au ni mbabaishaji anayejificha nyuma ya mafanikio ya wanafunzi wake?
Man United hawana connection siku hizi.ameandika Chris Wheeler:
=================
- Rangnick set to miss Arsenal game due to work permit red tape and new Covid rules
- staff told he's unlikely to take over until end of the week
- Utd scrambling to have him in place for Palace
- Carrick will stay in charge for now
wajuzi wa mambo nielewesheni
- kwa nini antonio conte amepata kibali mapema (tuseme yeye alishawahi kufanya kazi Uingereza0
- thomas tuchel naye alipata kibali ndani ya muda mfupi(hakuwahi kufanya kazi uingereza)
- kwa nini beki wa spurs anayeitwa romero alipata kibali mapema lakini varane alichelewa haliyakuwa wote hawakuwahi kufanya kazi Uingereza.
Unaifahamu Schalke 04 ya 2011 golini kukiwa na Manuel Neuer iliyotinga nusu fainali ya UCL na kutolewa na Man United? Basi mwamba ndiye alikuwa kocha.Ila Du mzeee wa watu mnampamba sana huenda alikuwa ni mwalimu wa tumu za daraja la kati tu
Yaani hapa unaandika kama vile Schalke was a better side than Man U. Yaani ili tu kuchagiza tu kwamba jamaa ni mnoma sana.Unaifahamu Schalke 04 ya 2011 golini kukiwa na Manuel Neuer iliyotinga nusu fainali ya UCL na kutolewa na Man United? Basi mwamba ndiye alikuwa kocha.
Huyu aliyepo alikuwa figurehead tu, without any real power to influence football matters. Ed Woodward ndiye aliyekuwa ana-oversee transfers. Mfano mzuri ni usajili wa Cristiano Ronaldo.Mkurugenzi wa ufundi anabakiwa na majukumu gani sasa?
Inamaana Ed Woodward na kina Glazer ni wahuni?Huyu aliyepo alikuwa figurehead tu, without any real power to influence football matters. Ed Woodward ndiye aliyekuwa ana-oversee transfers. Mfano mzuri ni usajili wa Cristiano Ronaldo.
Kikao cha kumfukuza Ole walikaa watu wanne Avram Glazer and Joel Glazer via Zoom, Ed Woodward and his expected replacement, commercial director Richard Arnold.
Sporting directors and directors of football at European clubs are often given power over a manager’s future, or at least a say. On John Murtough, his job is purely an advisory role.
Wacha akutane na wanaume wa shoka pep,klop ,TT ........Ili huyu cocha wetu anahitaji maombi, kuna hatari Man Utd ikawa ni sophisticated zaidi yake. Sababu nasikia yeye kataka aende na video analyst wake, lakini Man Utd iliishamove from contemporary video analysis to Artificial Intelligence, sasa atakuwa compatible kwenye hii set up kweli?
Boss, nadhani kuna threads ya Man City, Liverpool and Chelsea, unaweza tafadhali ukaenda kuwazungumzia hao manyani kwenye nyuzi zao?Wacha akutane na wanaume wa shoka pep,klop ,TT ........
Mtamkataaa wenyewe
Sana tena sio kidogo. Hicho cheo walikileta baada ya recommendations za watu kugundua blunder nyingi alizokuwa anafanya Ed Woodward hususani ktk usajili na mikataba.Inamaana Ed Woodward na kina Glazer ni wahuni?