Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Exactly
 
Fergie hakumfokea Ole..ila alimind ni kwa nini hakumwanzisha Ronaldo..na sauti na video zilinaswa akiwa anaongea na Husein Bolt baada ya mechi.

Alisikika akisema"You have to start with best players".
 
Kama video fupi ya mahojiano kati ya Rangnick na waandishi wa habari inayosambaa mitandao ni kweli,jamaa ameweka wazi nini anataka kutoka kwa wachezaji na wachezaji wa ubora upi anaowataka kutoka kwenye mamlaka ya juu ya timu ili kutekeleza falsafa zake. Ukizingatia mifumo ya nyuma tangu kipindi cha Mourinho,United ilifanya sajili kwa kuzingatia zaidi sababu za kibiashara na mambo ya kiufundi yalifuata. Je,kwa kumpatia Ralf nguvu ya kufanya maamuzi hasa upande wa usajili wa wachezaji, united watakubali kuwekeza uwanjani zaidi na kupunguza manufaa wanayoyapata kutokana na mvuto wa mchezaji husika kibiashara?
Nini maoni yako mkuu?
 
Maoni gani wakati timu lenyewe liko linajifia ....

Hakuna timu hapa
 
Wakuu mimi nina swali..

Ralf Rangnick atakuja na kutengeneza style of play lakini itakuwa ni kwa miezi sita tu..Je,kocha mpya itabidi afuate misingi hiyo hiyo ya Ralf au itabidi atengeneze system yake?
Interim manager baada ya hapo ata-move up the hierarchy in a de factor Sporting Director position (consultancy role with power to shape the club in his vision).
 
Nakubaliana na wewe.
 
Fergie hakumfokea Ole..ila alimind ni kwa nini hakumwanzisha Ronaldo..na sauti na video zilinaswa akiwa anaongea na Husein Bolt baada ya mechi.

Alisikika akisema"You have to start with best players".
Mdau alidai kuwa OLE alifokewa, ndomaana nikahoji.
 
Interim manager baada ya hapo ata-move up the hierarchy in a de factor Sporting Director position (consultancy role with power to shape the club in his vision).
what if the new Manager fails to implement the consultant's advice, or he simple has a different belief or subsequent to recruitment he develop a different belief.

Nimesoma pia, board inamlazimisha afanye kazi na Michael pamoja na Phelan, na inampango wa kuwapa hao jamaa permanent coaching contracts, permanent in that, contract with no time limit, eti kwa sababu they have invested alot on them.

Na nimemsoma Michael anasema when the new Manager come, he will be very successful because he will find a strong foundation built by OLE, Michael and Phelan.

hivi hatuoni an imminent next managerial crisis hapa?

Mi naanza kuona kama OLE amekuwa kama scape goat tu, the real source of problem is still obscure or is being skirted. Kuna watu pale OT wanainfluence kubwa na wamedhamiria ideologies zao ni lazima ziprevail.
 
Ha ha nimecheka sana wnataka awape mbinu mpya ngoja kesho tuone huenda wakatok na chochote kitu wnaimni kubwa sna na RAGNACK
 

Kocha mpya kabla hajakubali kufanya kazi alitaka awe na nguvu ya maamuzi katika timu hilo amewahi lisema hafharani jinsi anavyotaka kuwa na maamuzi etc...fabrizio romano na Ornstein waliotoa bteaking news yake pia walisema suala hilo la kukubaliwa kufanya maamuzi

Hivyo yeye kocha ndio ataamua Carrick, kenna na phelan wabaki au wasibaki kulingana ma hiv6o vyanzo vya kuaminika na kocha ameruhusiwa pia kuleta watu wake hata kama atataka hao kina Carrick.....

Hamna mtu atakaemuingilia kocha kwa maana ni mtu ambaye hayumbishwi na alikataa offer ya kwanza hadi alipokubaliwa kuwa na nguvu ya maamuzi.....

Suala la permanent contracts sio la kweli na haliwezi kutokea, kwasababu huyo Kenna na phellan waliishataka ondolewa na ole sema Carrick akaomba backup yao mechi hizi chache....

Hivyo board haijamlazimisha afanye kazi nao ni maamuzi yake yeye asipowataka ataiambia board

Pia hata amekuja kujenga misingi ya soka na playing style ya kisasa....hivyo hata akifeli sahizi ataendelea miaka 2 kama mshauri katika masuala ya soka kwasababu anaexperience na uwezo wa kutosha...

Hao source yao sio ya kweli mkuu.....naamini habari ukisikia Skysport, fabrizio, ornstein [kwa uingereza] inakuwa na ukweli vyombo vingine ni kutaka kuuza tu magazeti....ni sawa na habari ya jana nyingine kuwa mastar wamenuna kwenye watsapp sababu hawakuambiwa ralf ndio anakuja which is totaly absurd na uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…