Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe mkuu upo serious yani umtoe Rashford umsajili Pedro Goncalves? au haufahamu alicheza Wolves akaflop??

Rashford ni mchezaji mzuri sana huwa anatendea haki sana wing ya kushoto ukitaka uamini angalia game aliyorudi alafu pia angalia martial na sancho wakiwa upande huo
 
amna kocha apo anajipamba kwa kupita migongo ya makocha waliofanikiwa yeye aje aoneshwe uku sio russia au hoffeinham uku ad watford wanajilia tunda kimaskhara Leicester anajipakulia westham anajiandalia alafu young boys anafanya kama anasusa

Sent using motorola 78
 
wabongo bwana ... Kwamba mnataka Nini,,,
 
Siyo ajabu na kupambwa kwake kootee msimu huu,Na yeye akatoka Kapa
 
Hii Man Utd ya ss pia bila kuongeza mchezaji yeyote yule hakuna timu itamiliki zaidi yetu labda City, kuhusu hao wachezaji vilaza uliowataja wote waondoke hata bure sio lazima kuwauza kama hawauziki.
 
Utakuwa unaota kufikiria kama Rashford ataondoka Man U.
 
Hii Man Utd ya ss pia bila kuongeza mchezaji yeyote yule hakuna timu itamiliki zaidi yetu labda City, kuhusu hao wachezaji vilaza uliowataja wote waondoke hata bure sio lazima kuwauza kama hawauziki.
Mkuu mpka wan bisaka bro hauko serious
 
anajipamba wapi wakati kocha wako mwenyewe ndio amempamba jamaa.....
 
Nyuma ya sababu kwanini jamaa kila kazi anayopewa anademand kuwa na maamuzi makubwa kwenye mambo ya uwanjani, ni kwasababu, jamaa anamaamuzi magumu na haitaji mzaha katika kazi yake

Mwaka 2020 alisema luke shaw sio mzuri kwa level ya man u

Pia akaja sema kuwa hawezi kumswap, Keita kwa pogba kuonesha anademand workrate kubwa na nidhamu....

Sasa jamaa yetu wa kusema he fuckn with the wrong baller safari hii kazi anayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…