Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ubora wa kocha angalia the idea behind & winning probability, kuangalia anafundisha ligi gani ni kutumia wrong variables, Ten hag can destroy teams.
 
Erik Ten Hag ni kocha pekee binafsi ninaye taraji atue MU,kwann
1. Amejitanabaisha aina yake ya kandanda yenye mbinu, malengo.
2. Ameshacheza na kuzifunga timu kubwa na makocha wakubwa, mfano Juve, BvB etc
3. Timu aliyonayo sasa haitofautiani saana na Man U yetu, kiuchezaji
4. Mpira wa Ajax utahamia Man U, na itachagizwa na Class ya wachezaji wa United

Kuna baadhi ya watu wanasema n kocha asie na uzoefu wa ligi ngumu, mbona JK alipotoka BVB walisema hana uzoefu ?! na mbona Sasa anafanya vizuri.

Binafsi makocha wanaoweza kuja United ni,
1. Erik Ten Hag wa Ajax.
2. R Martinez wa Ubelgiji.(japo amedumu sana kumpata)
3. Steve Bruce wa Newcastle UTD.
Asikudanganye mtu, hakuna kitu kisicho na Bei katika dunia hii, Cha msingi wapewe mkataba wenye mashrti nafuu kwa msimu huu, ambao alikwisha uharibu mmasai.

Glory Glory Man Utd.❤️❤️
 
Ajax wana kikosi kizuri kushinda hiki cha United?..

Kama kocha anajua akija England akipewa kikosi chetu England atasumbua na Ulaya atakuwa bora tofauti na alivyokuwa na Ajax..that's for sure.

Next summer ni kusajili Proper DM,RB,No.9..then we a good to go.
 
Kutobos Epl inahitaji akili mipango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…