Manchester United (Red Devils) | Special Thread

List ya kijinga kabisa kuwahi kuishuhudia, man u mpaka iuzwe ndio itabadilika, ina watu wa hovyo huko juu hawajui lolote kuhusu mpira
 
Ila Steve Bruce ni underrated manager kwenye epl lakini timu zake nyingi huwa ni strong teams
Endeleeni tu kuwaamini hawa makocha wa team ndogo kwa kudhani Man U ni ya majaribio, imemtoa jasho Mou na historia yake ya vikombe mnakuja kuwawaza hawa kina Bruce, Chelsea akishinda jumapili tunakuwa wa 13 kwenye ligi, tupo hapa mdogo mdogo
 
Wake up man ...it's another day
 
Maiti imeanza kupiga chafya
 
Haka ka Bruno kaache mambo ya kijinga..kamekuwa hovyo kwa muda mrefu tu..kukaa benchi kwake alistahili.

Na hili ni fundisho kuwa inabidi uipambanie namba sio kuridhika tu na kuanza kucheza kifaza
Bruno ana kosa gani jamani

Mimi nahisi ilikuwa ni tactical strategy ya Bruno kuanzia nje

Kwa Ulaya bado sijaona wa kumuweka Bruno benchi kwenye anayocheza

Jana tu kaingia kipindi cha pili ame create nafasi 4 za wazi
 
Bruno ana kosa gani jamani

Mimi nahisi ilikuwa ni tactical strategy ya Bruno kuanzia nje

Kwa Ulaya bado sijaona wa kumuweka Bruno benchi kwenye anayocheza

Jana tu kaingia kipindi cha pili ame create nafasi 4 za wazi
Frankly speaking Bruno anajua ila recently amekuwa kawaida sana..sasa hali ya kujikuta undroppable na kuanza kununa kisa umewekwa benchi kwenye game moja mimi ndo sijaipenda.

Si uliona hata hakufurahia kivile ile assist aliyompa Sancho?
 
Frankly speaking Bruno anajua ila recently amekuwa kawaida sana..sasa hali ya kujikuta undroppable na kuanza kununa kisa umewekwa benchi kwenye game moja mimi ndo sijaipenda.

Si uliona hata hakufurahia kivile ile assist aliyompa Sancho?
Kiukweli hicho kitu siku ki notice
 
Kiukweli hicho kitu siku ki notice
Alinikera sana jana ukizingatia na hali timu inayopitia,inabidi wachezaji waje pamoja wawe kitu kimoja..mtu unatoa assist na Sancho anafunga goli lake la kwanza ambalo amelisubiria kwa muda mrefu sana(you can feel the vibe) lakini hata bashasha kidogo hamna kisa tu umeanzia benchi..ujinga mtupu.

Uwezo wa Bruno hamna mtu anaweza kuupinga..he's most creative player kikosini kwetu na pia hata kidunia lazima awe juu kileleni na mafundi wengine.

Permanent coach inabidi aje na awe mkali sana and at the same time social pia.
 
Kama ni hivyo basi alizingua, huo ni ubinafsi

Mimi ni Yanga, nakumbuka kuna ujinga alifanyaga Saidoo mpaka leo sijamsamehe kwa asilimia zote ... Mambo ya kujiona mkubwa kuliko timu
 
Mpaka sahizi nafikiri hawa wanaotajwa kama interim ni watu bora sana....

i)Ernesto varverde
ii)Ralf Rangnick
iii)Rudi garcia

Ernesto ververde alitwaa la liga mara 2, kombe la ligi pia....alifukuzwa january 2020 kwasababu ya matoke9 ya champions league back to back alipoteza kwa liverpool na roma the following season....

Rangnick mzuri kwenye uandaaji wa mipango bora ya timu ataistructure timu vizuri kuanz8a uchezaji hadi management jinsi ya kusajili

Rudi garcia alikuwa kocha bora sana akiwa Roma....Roma walikuwa wa moto sana ajabu msimu wake wa mwisho wqchezaji waliperform chini sana vipigo vikazidi hadi akafukuzwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…