Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe utakuwepo ot siku hio!?
 
Katika watu ambao nawachukia ni wanaotuita nyumbuu.. yaan Bora Bora ujue kuwa kuniita nyumba wewe ni Ku.ma yamama ya maamamako. Niite jina lingine..sio nyumbu mavi nyie
Pundamilia je!?
 
Tu najua kutakua na matokeo mabovu na Watford

Lakin bado tunaimani na Sir oleguna shosha kudadadeki
 
Sema Bruno na Ronaldo watambeba tena kesho hata timu ikiwa na perfomance mbovu.

Ila kama unavyosema ikitokea tukafungwa.,ebhana eee lazima aondoke.
Hata Watford akiwafunga leo ,hizi kelele za nyuma ya keyboard jf haziwezi kumtoa ole pale OT
 
Kama kweli timu inamzingatia Brendan Rodgers naomba wawaze mara 2
 
Mmemnunua De Beek mbona hachezi?

Huyu anacheza nafasi ya Pogba na Fred sasa kama hao wataperform hovyo ndiyo na yeye atapata namba.

Leo.

Pogba nje. Fred nje.

Matic ndani. Ndugu yake Ferguson ndani.

Na amerudia 4 2 3 1. Formation ya ushindi.
 
Varane majeruhi yamemharibu hata speed yake imepungua.

Nyinyi nini nyinyi . . . Yaani huyo beki ana makombe kibao akifikia pale yeye na Maguire ukuta wake lazima muisome namba. Ni mwendo wa clean sheet day in day out.

Msimu umeanza clean sheet imekua msamiati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…