Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Board ipo kibiashara zaidi,,na sio kwa manufaa ya club.
Wanafikiria kukatisha mkataba wa ole,na kumlipa ni pesa ndefu.

Ole out.
 
Kibiashara haijakaa sawa.Ila kimsingi Ole ametutoa point C kwenda point B na uwezo wake umeishia point B.
Tunahitaji mtu wa kutufikisha point A kabla kikosi hakijapasuka.
Ole ni kocha mwenye bahati tu,lakini hana uwezo wowote wa kiutendaji.
Kama van gaal alipata kombe la FA na alifukuzwa,,ole ambaye amepewa miaka 3 bila kikombe chochote kwa nn anabaki? Au man u lengo letu ni nafasi ya 2?
 
Breaking news machester united confirm sign coach KIGOGO from Twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…