Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Siku hizi nafurahia uwepo wa international break kwa kweli, maana zamani nilikua nachukia kutoangalia timu yangu ikicheza ila kwa sasa timu za taifa zicheze hata mwezi fresh maana moyo nao unapumzika na masononeko.
Maurinho alicheza kiungo team gani?Hvi ni kweli, ubora wa kocha unategemeana na nafasi aliyokuwa anacheza akiwa mchezaji ?Mfano
Thomas Tuchel alikua defender ndio maana anafanya vizuri kwenye upande wa ulinzi
Pepe guardiola alikua midfielder ndio maana anakichafua sana kati na anamiliki mpira sana
Nimemuangalia Antonio conte hvyo hvyo ..au mourinho au diego simeone WOTE HAO WALIKUA VIUNGO
Kwa upande wa Ole alikua forward ndio maana nyumbu hawana tatizo kwenye ushambuliaji na ndiko anafanya vizuri zaidi ...
Team za League ya ureno huko ... ila wajuzi wa mambo wanasema alimbwela alikua mbovu kama fred ikabidi akimbilie kwenye kufundisha mpiraMaurinho alicheza kiungo team gani?
Mourinho alichezea club ipi duniani?Hvi ni kweli, ubora wa kocha unategemeana na nafasi aliyokuwa anacheza akiwa mchezaji ?Mfano
Thomas Tuchel alikua defender ndio maana anafanya vizuri kwenye upande wa ulinzi
Pepe guardiola alikua midfielder ndio maana anakichafua sana kati na anamiliki mpira sana
Nimemuangalia Antonio conte hvyo hvyo ..au mourinho au diego simeone WOTE HAO WALIKUA VIUNGO
Kwa upande wa Ole alikua forward ndio maana nyumbu hawana tatizo kwenye ushambuliaji na ndiko anafanya vizuri zaidi ...
Ushuzi mtupu..Paul Pogba wants to renew his contract with Manchester United but the 28-year-old France midfielder is demanding he overtakes Cristiano Ronaldo to become the Premier League's highest-paid player. (L'Equipe, via Metro)
Mourinho alichezea club ipi duniani?
Nimeuliza hilo swali pia nikajibiwa ni club za huko kwao ila sikutajiwa jina.😂Mourinho alichezea club ipi duniani?
Ndy maana mashabiki wanashinikiza Edwoodward aachie timuIna maana tajiri wa club hana mamlaka ya kumtimua kocha mpaka mashabiki waandamane?
Inawezekana tajiri bado anamwamini Ole.
Aondoke tu, alichokifanya kinatosha.HABAR ILIOPO MANCHESTER
Sosha kaambiwa ajiuzulu ila hataki na sasa yupo kwao ila kuna kijambo kinaendelea pale OT
Game ijayo ya jmosi dhidi ya Watford mashabiki wataandamana ili game hiyo isichezwe wamekubali hata Watford wapewe points ilimradi tu sosha aondoke
Mpaka sasa manchester wanawatag makocha watatu 1zizu 2 Eric hag 3 Luis Enrique
Rio Ferdinand yuko tayari katika maandamano hayo kuungana na mashabiki ili kuinusuru manchester na kufukuzwa kwa ole
Kwa upande mwengine Edwoodward anaweza asiwe na cheo chake huenda kikachukuliwa na mtu mwengine
Kwa upande Edwin van dar Sar anaweza Kuja United kuwa mzee wa kuleta vipaji pale OT
inawezekana sosha asirudi Tena kwa taarifa zilizopo timu sasahivi yupo nayo Michael Carrick mpaka watakapoamua yao maana mashabiki washasema wataandamana na ndo mana Sosh yupo pembeni kwanza anasikiliza upepo
Hayo ndio yaliopo ila naamini kila mmoja wetu humu anatamani ifike siku ya jmosi ili ajionee kile kitachojiri pale old Trafford
NINI MAONI YAKO SHABIKI MWENZANGU
Lous Enrique bonge moja la kochaAondoke tu, alichokifanya kinatosha.
Ila kuhusu hao makocha tajwa hapo juu labda huyo Tan hag, ila kuhusu Zizu na Henryque siungi mkono.