Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mm alinichosha pale alipotuaminisha tuna uhaba wa right wing.
Ole ni ngumu kumuelewa anataka nini, wachezaji anapewa ila hajui kuwatumia kupata matokeo.

There's no way VDB na wenzake wengine wata-develop kama kila mashindano hawapati nafasi. Ole ni mgumu sana japo kufanya a small change kwenye kikosi chake ili kuwapa confidence wachezaji wake wa bench. Siku tukipata majeruhi au emergency yoyote muda tutakaotaka kumtumia VDB atakuwa ameshapoteza morali na kujiamini uwanjani.
 
Dalot mechi ya Westham alicheza upumbavu ya EFL..na kuna game aliingia akacheza wingback ikawa utopolo..I did rather play impotent AWB kwenye hiyo nafasi,,kwanza AWB ameimprove kidogo kwenye hilo eneo na ana advantage ya kukaba..

Dalot,Telles na VdB walicheza game ya Westham ya EFL na tuafungwa..

Na mechi hii ni ya umuhimu sana kushinda otherwise tuwe njiani kuelekea Europa.
 
Cha muhimu ushindi tu leo ni vyema tumeanza na kikosi solid ila Ole ndiyo anamaliza vipaji vya hawa wachezaji.
 
Hii game kwa mfumo alioenda nao Ole hakika ameenda kwa ajili ya kutafuta sare. Backline watano!

Huu ni uoga kabisa. Baily leo atawapa zawadi ya penalt hawa Atalanta. Sababu kubwa ni kutumia nguvu kuliko akili.
Niwatakie ushindi usiku huu.n
 
Leo tusitarajie kambaki, hawa jamaa wamekwisha tuzidi. Ole kajichanganya kwenye kikosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…