United siipendi ila wanaosoma United kabebwa Penalt maybe watizame vizuri ujinga ni wa Lloris kipa wa Totenham angetulia alipo United wasingepata Penalt ukiitizama miguu wa nyuma wa welbeck aliugusa na gloves zake hakupata mpira.
United siipendi ila wanaosoma United kabebwa Penalt maybe watizame vizuri ujinga ni wa Lloris kipa wa Totenham angetulia alipo United wasingepata Penalt ukiitizama miguu wa nyuma wa welbeck aliugusa na gloves zake hakupata mpira.
Kwenye soka hakuna timu isiyobebwa,tatizo wengine hawabebeki na watu wamekariri kuwa Man United wanabebwa ,mfano Chelsea amebebwa game 2 ambazo zote ilibidi afungwe lakini hakuna mtu ambaye anazungumzia hilo
United siipendi ila wanaosoma United kabebwa Penalt maybe watizame vizuri ujinga ni wa Lloris kipa wa Totenham angetulia alipo United wasingepata Penalt ukiitizama miguu wa nyuma wa welbeck aliugusa na gloves zake hakupata mpira.
It is true mkuu....Welbeck tayari alikuwa ashabanwa na beki wa Spurs,hakukuwa na haja ya Lloris kutoka golini..
Ni penati halali kabisa.....Halafu Spurs watafute kipa mwingine Huyu anafanya uzembe sana...
....Jamani ee, I think it's the best time to say Goodbye sasa
maana #Chelsea na #ManCity ndio haooo....nyie endeleeni kukalia "kuti" huko nafasi ta Nane!
....Jamani ee, I think it's the best time to say Goodbye sasa
maana #Chelsea na #ManCity ndio haooo....nyie endeleeni kukalia "kuti" huko nafasi ta Nane!