Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Everyone wants Ole to go but wishing the club you support to lose just for Ole to be sacked sooner it's wrong. If we lose all the 3 games the board gave Solskjaer to secure his job then it'll be more likely to go another trophyless season, now which fan needs to see failure of his club by his own wish? A plastic fan I would say.

Just support the club and the gaffer you never know he would stay here till the end of the season.

'After a storm comes a calm.'
 
Kununua mtu anaweza sajiliwa na asifanye vizuri ipo kote, liver walimnunua takumi mbona yupoyupo tu? Chelsea wamenunua simtank mbona hawamdharau? Kwahiyo sancho ni kama hizo sajili nilizosema hapo, kikubwa ole hawezi kufundisha man u
 
Mzee naelewa si sahihi ila sasa kama ulivosema.....hata nikisema tushinde na bado tutafungwa point itabaki ile ile kwamba kocha atabidi aende tu....hata ukiwa na hope ya kushinda ni kama utakua na false hopes kwa sababu timu yenyewe uchezaji wake wa ajabu ajabu...
 
dumu limemeza guduliaπŸ˜‚
 
Manchester city Ronaldo angesugua benchi mpaka akili imkae vizuri. Watu kama kina mahrez wanakaa nje huyo kibabu Panadol ndio apate namba?
 
Duh, cr7 ameanza kukanwa mara3 kabla jogoo kuwika!
 
Msifikili Liverpool kuwapiga goli tano ,ndio kigezo cha kushinda kesho ...

Kama wachezajia hawatajituma ,kukimbia ,high pressing na zile back line zenu zimezotepeta Kama chapati za maji ,Spurs anawapiga goli za kutosha tu ,football haina huruma ....
High press kwetu haitofaa akiwepo ronaldo mbele ....

Press inafanywa na whole team sio watu wachache wa nyuma
Afu kwa nnavoelewa mimi kupress mara nyingi intention yake ni ku disrupt build up ya nyuma kwenda mbele ili kuondoa mipango ya timu ....sasa kama mbele hampress basi haina umuhimu wa kucheza mfumo wa pressing

Kama kupress basi acheze cavani maana yeye atleast anajituma
 
Duh, cr7 ameanza kukanwa mara3 kabla jogoo kuwika!
Hapana mzee katika mpira inabidi tuwe wakweli na tuache danganya toto za kipuuzi

Narudia simaanishi ronaldo ni mbaya hapana..kwa ninavoelewa timu bora inatakiwa iwe vyema katika kushambulia na kulinda

Man utd ni wazuri tu kwenye kushambulia wakiwa na cr7 ila kwenye kulinda ni mtihani kwa sababu the guy is old kwa sasa sio yule mtu wa vibaiskeli wa 2009 au 2008 huko aliekua anashuka uwanjani kuufata mpira

Hili la ronaldo kwenye team nyingine kama liverpool isingekua mbaya maana watu wa uhakika wa kuziba kazi ya defence ya ronaldo wapo...kina fabinho na viungo wengine ambao ukiwaangalia ni watu wenye extra abilities mtu anakua anajua kushambulia na kulinda vizuri inakua two in one player hivo inasaidia kuziba majukumu ya wachezaji wengine wawili au mmoja ambaye kabisa hajui kukaba

Mfano mzuri ni chelsea kuna mtu kama kante ambaye ana provide extra extra extraaaa defence advantage na wanaomzunguka wako vizuri katika kunotice threats na kuzifuta

Case inakuja kwetu man utd kuna scott na kuna fred ambao wote wana faults katika ulinzi halafu kuna wanaowazunguka wakina rashy...mason ....b.fernandez....sancho ..na huyo cr7 mwenyewe hawakabi bali wanafata tu mpira uliko ...hao huoni ni wachezaji wengi sana ambao hawarudi kukaba???

Ndo maana timu inakua haina muunganiko yani AWB amkabie mason na yeye ajikabie halafu pia shaw amkabie sancho na yeye pia unategemea nini mkuu..ndo maana mara nyingi unakuta kuna loose player wengi wa opposition wanakua free kwa sababu defence inakua ina kazi kubwa ..


Sasa timu ambazo mara nyingi wachezaji wake wanakua wanafaults ni vema team itegemee wacheze kwa umoja ili kujaribu kufuta matatizo yanayotengenezwa na watu waliopo kwa sababu team inakua haina uhakika na wachezaji wake kuna wrong pass, missed tackles.. loss of possesion na vitu kibao ambavo kama timu ikikaba na kushambulia kwa pamoja wachezaji wanaweza kuvifuta sasa kwetu man utd tuna faulty players afu hawachezi kwa umoja yani ni worst case scenario hio....unafikiri tunatokaje hapo..conclusion ni kwamba cr7 ni mtu bora kwenye wrong team kwa sasa so ni kweli hatufaii kwa hii team yetu kwa huu ubora wa ole guna
 
Wakuuuu...... Sosha asipopata kiungo mathew flamini au Dany Drinkwater wa kusaidiana na matic pale katikati tumekwisha.

Suala la kumchukua Andy Carol kwa mkopo ni muhimu.
Andy carroll????
Naomba unielekeze analeta nini mkuu pale old trafford

Huyo drinkwater aje tu kwa kwel
 
Maswali magumu ni je OGS hatawapanga Luke Shaw na Maguire na nafasi zao kuchukuliwa na Erick Bailly na Alex Telles?

Je atamweka Bench Wan Bissaka pia na nafasi yake kuchukuliwa na Dalot pamoja ni left back? Bissaka mchovu ni bora fresh legs.

Je huu siyo wakati mwafaka wa kumpanga Donny Van Beek na kumwacha mbrazili Fred akapasha benchi anaonekana mchovu?
 
π‘΄π’π’‚π’ˆπ’π’π’ˆπ’˜π’‚ 𝒕𝒆𝒏𝒂 𝒏𝒂 𝑳𝒆𝒐
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…