Manchester United (Red Devils) | Special Thread

😔😔😔
 
Kuna binadamu humu aliwahi kusema tukimleta Sancho tatizo la winger litakuwa limekwisha na kombe tunabeba.
Namkumbuka hata mm..tena akajinasibu kua shida ni Winger iyo...lkn leo hii Kocha alivo akil ndogo anaenda kuua kbs kiwango cha Sancho..yan Nikumuangalia DVB nataman kulia nikiona Ajax yake ilivo ya moto na yy hayupo i just wish angekua bado ajax team yao ingeenda mbl tena...Yan Wanaodhan Ole ana akil timamu ya mpr sijui wanaangalia mpr gn...Ole ni mzee wa kungata na kupuliza ana buy time na wapumbav wanafiki wanaomuweka ni class ya 92 hao ndo wajinga no.1...Man u wana safar ndef sana vichapo vitawahusu ving na huu ni mwanzo..sisi wa team mpinzan raha sana wafungwe
 
RASHIDI aache kimbelembele,fans wanataka wafungwe ili Sendeka aondoke,ye anafunga ili iweje sasa....OLE SIYO GAIDI! OLE SIYO GAIDI! APEWE MUDA ZAIDI.
 
Nilimwambia kama kocha ni ole hakuna cha maana hata tumlete messi na ronaldo kwa pamoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…