Daemusin Chief Mkwawa nafikiri hoja zangu namba 5 na 6 zimeanza kutupa majibu mapema sana.
Pamoja na mapungufu yetu ya kocha na kukosa muunganiko wa maana Ronaldo kwenye kikosi chetu ni tatizo la tatu.
Nimeacha rasmi kuangalia match za Man United toka game ya Leceister City.
Kama
Chusa alishaacha kuangalia mimi ni nani ???