Mahaba yanatumaliza humu ndani ni watu wachache sana ndio wanaongea ukweli kuhusu hii timuSure thing...
Mshangao wangu ulikuja baada ya kuona Maguire karudi second half nikasema Ole muoga sana wa maamuzi.Ole anastahili lawama za kufa mtu tena hata kazi afukuzwe
Erick bailly mzima unachezeshaje friji maguire katoka kuumwa?
Nilitegemea bailly acheze na victor
Huyu greenwood ni mchezaj mzur ila kumpa dakika 90 ni nyingi sana kwanza mbinafsi ni heri wangegawana na lingard angeanza jessey huwa napenda sana greenwood akiingia kipind cha pili na huwa anafanya vizur
Shaw sijui nani alitudanganya bek mzur kwangu bado sana pamoja na takwimu za kutengeneza mashambuliz anazo nzur ila huwa anachomesha sana
Sasa yule mholanzi kanunuliwa wa nini?
Pogba ukimshusha CDM lazima tuyumbe kocha anamshusha pale
Ana Bruno,Pogb na Ronaldo plus ka greenwood hao wote hamna wa kukaba kwa nini usipigwe?
Muda wote kumtesa bissaka,de gea na lindelof yule maguire katoka kuumwa alikuwa hawez kufanya lolote
Ukiangalia goli alilofunga Daka mzambia frij maguire anamuangalia tu na kocha lipo limekaa bench kenge kabisa
Kuna mistake Lukaku aliifanya inter conte alimuita alimkata biti la maana sasa yule super sub anachekacheka tu mech zote rahisi kaangusha point anategemea kuamka kwa manchester city?
Manchester city,, liverpool na chelsea wanacheza mpira wa kiume na ukianza kuangalia unatamani mech iendelee
Kwanza kocha wetu ananishangaza sana timu inayoruhusu goli kila mech kisha ndio inakuwa timu ya kwanza ni dhahiri hamna upeo hapo binafsi tu inanipa shida je mhusika mwenyewe inakuwaje?
Conte akiwa chelsea walienda mech nne mfululizo wakiruhusu magoli alibadili mfumo chap ukawa ukuta mgumu sana ole kila mech GG kawaida sana hiyo timu gani?
Kashindwa kumtumia Telles na DVB ujio wa Varane nilitegemea hata angajaribu kumtumia na bailly ndio kwanza kakomaa na mtoto wa nyumban muingereza
wacha nikae kimya, kwa sababu wewe ni rafiki yangu.Sema Captain wetu Maguire anajitahidi sana
wacha nikae kimya, kwa sababu wewe ni rafiki yangu.
Ronaldo na Maguire kwenye mechi ya Leceister ndiyo waliotucost.Hata Brighton wanatumia 3-4- kwenye build up play, leicester walitumia 3-2- vs united. Mikel & Ole's system 4-2-3-1 inaonekana kwa sasa haijaAdapt against team zinazobuild up na back 3
Anakaa nao kwa miaka mitatu pale carrighton na hamna alichofanya hizo 45 za kazi gani anajihami tu fundisha mpira wa kueleweka watu wapige gozi sio kujichezea freestyle kama magwair.