Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,637
Wakuu mbn zengwe, dogo kaharibu mechi moja tu mmeitoa imani kwake wakuu? Mbn huwa c mbinafsi yule dogo, ngj nimuite aje athibitishe kwamba hatarudia tena Greenwood
Hii ndo mara ya kwanza tunawafunga..nyingine zote draw.Ila villareal huwa wanatusumbua sn.
Kuna ile mijinga ya Chelsea huioni humu saiz ishakalia uko
Option tunazo kibao aisee...ila mipango hamna.Kosi la dunia sema kocha wa Kagera
Wanangu Mpira mna uchukuliaje hasa mpira huu wa mashindano ya ulaya ? Ivi mnafatilia haya mashindano kweli kuanzia games hadi matokeo?Ma.mae walai..ilikuwa tayari ni draw hii..na tumekoswa mara kibao..
Ole Ole unatuzingua.
Ngoja tuone mkuu mana mgambo usimpe asilimia zote ukadhani ana mafunzo ya kijeshi kisa naye anavaa gwanda.Naona Lingard kaacha ujinga siku hizi
Tulisema ule mpira wao ipo siku watapigwa na kitu kizitooWamepigwa na kitu kizito kichwani
Ole mi5 tenaBwana Sendeka kawapoza kidogo,zile Ole Out zimepungua...Ni mwendo wa kung'ata na kupuliza.
Tupo hiyo mijinga ya Chelsea ambayo ndiyo Vidume bora wa Ulaya mwaka huu kwa kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE & UEFA SUPER CUPKuna ile mijinga ya Chelsea huioni humu saiz ishakalia uko
We Jamaa ebu taratibu basi, yani unataka afukuzwe ili sisi Mashabiki kindakindaki tupoteze furaha tukiwa tunakuja kujichotea tu point 3 Old Trafford kwa kuwaajiri makocha wataalamu kama Zizou na Conte ili muwe vizuri kiushindaniBado hajafukuzwa tu
The game was bull bull!! hahaaa lingard babalaoRonaldooooo
Asante Jesse Lingard na Fred..
Ole still a PE teacher.
What a game.